Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati Magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika.