Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Wewe taahira weka ya kwako maana unaamini katika CV! Mimi naishi bila kutegemea hizo taratasi zako zinaitwa CV!

Tunataka kuona kati yako na zitto ni nani takataka mkuu weka CV
 
Ni matako ya sufuria au kitako cha sufuria? sitara ya grammar inakaaje?

Members should strive to make JF Linguistic Centre of Excellence.

Wole Soyinka.
 
Kwani Magufuli kigoma Kajenga hizo Barabara?




Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Hii tabia ya kusema raisi katoa fedha, raisi kajenga barabara, Raisi kanunua ndege, raisi katoa hela za madawa.......... Hivi hatuna system za kiserikali za kutoa fedha bila kumsisha presidents moja kwa moja
 
Mbona Lisu aliongea Magufuli akiwa hai na mkampiga risasi.Ben saanane kaongea mkamuuwa? Acheni unafiki wenu. MAGUFULI ALIKUWA MUUWAJI HILO LIKO WAZI.
Zitto mwenyewe alisha wahi kumzushia huyo Ben Saanane wenu kuwa alitaka kumlisha sumu.Naona Wewe ni mgeni sana ktk mambo ya siasa
 
"Schools of though need not necessarily balance"
"Perspectives are much stronger than reality"

Awinjoyi Ratego.
 
Mbona Lisu aliongea Magufuli akiwa hai na mkampiga risasi.Ben saanane kaongea mkamuuwa? Acheni unafiki wenu. MAGUFULI ALIKUWA MUUWAJI HILO LIKO WAZI.
Zitto mwenyewe alisha wahi kumzushia huyo Ben Saanane wenu kuwa alitaka kumlisha sumu.Naona Wewe ni mgeni sana ktk mambo ya siasa
Sio mbali juzi tu Samia kaisha kili kuwa hawezi kuvaa viatu vya Magufuri ni vikubwa sana,ila kuna kundi la vipofu ambao ata ukiwaonyesha kazi hawataki kuona,
 
Hivi watu bado wanamsikiliza huyu dogo? Ukiwa mjinga na kumfuatilia Zitto basi umekwisha kiakili, huyu ni wa kuachana naye tu na ndiyo maana Salama alikuwa anacheka kama hataki vile. Kwa lugha nyepesi ni kwamba alimdharau tu dogo.
 
Shujaa wa Africa πŸ˜†πŸ˜†..Huyu ni shujaa au mgambo wa Africa? πŸ‘‡



 
Tafuta top ten ya viongozi wa juu hapo chadema kabla haijasambaratika 2020 uone na kwa msingi huo hiyo chadema haifai hata kuongoza mtaa!

Wanaolalamika kwamba Magu ni mkabila ni wachaga tu, ila sisi wa mikoa mingine wala hatuoni hilo.

Na hii yote inatokana na kwamba ajira za vimemo toka kwa mjomba zilikoma kipindi chake ndio wachaga wakaanza kuona jamaa ni mkabila.
 
ndio uanamume huo, sasa mnataka urahisi urahisi tu....hata hela yenyewe tunaitafuta kwa mateso balaaa...Hakuna haki inayokuja kirahisi duniani au kwa kutegemea huruma ya huyo unayepambana naye....
Mbona unaongea kirahisi sana mkuu? Hivi jiwe unamjua kweli? Jiwe alikuwa jiwe kweli kweli... Ukiingia anga zake umeisha.
 
Hivi watu bado wanamsikiliza huyu dogo? Ukiwa mjinga na kumfuatilia Zitto basi umekwisha kiakili, huyu ni wa kuachana naye tu na ndiyo maana Salama alikuwa anacheka kama hataki vile. Kwa lugha nyepesi ni kwamba alimdharau tu dogo.
Huyu mdini na mla rushwa fala sana...JPM was a real deal....huyu aonyeshe hata kitu kimoja alichoifanyia nchi zaidi ya umbea umbea tu...huyu na tumbili walewale...
 
Huo ndio ukweli,Magu alichukia watu wenye akili, wanaompa changamoto na kumkosoa
 
NI

Ni Rais yupi kuanzia Nyerere mpaka Samia ambaye ameisha toa uwanja sawa kwa wapinzani Wake?
Hata kama haukuwa uwanja sawa lakini walikuwa walau wanatoa zaidi ya nusu ya usawa huo. Tueleze ni nani kati yao aliyeapa na akajaribu bila mafanikio kuua upinzani?
 
Kumbe hata Zitto anaamini kuwa anayejenga barabara huwa ni RAIS?
Duh! kumbe wanaohitaji ELIMU tz ni wengi sana!
 
Zito ni shetani lenye ujazo wa kidini ndiomaana halikosoi kwa samia na liliishi kwa hisani za udini awamu ya nne. Uislamu utumwa na Ukristo Ukoloni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…