Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata kigoma hana ushawishi kabisa.
Ukiwa kiongozi wa nchi tayari wewe ni nembo ya taifa, utasemwa vizur au vbaya ukiwa Hai au umekufa..hata marekani bado mpaka Leo wanamsema raisi Richard Nixon. Roosevelt na wengine.... Huwez ukawafumba watu midomo
 
Sasa hivi yuko kimya huyu Zitto sababu ikulu inaendeshwa na swahiba wake.
Ndio maana wameanza kupiga chepuo ufisadi yeye na Makamba eti TANESCO inafaa kubinafsishwa.

Zitto ni mpigaji mkubwa na fisadi wa wake za watu,wake za marehemu na wabunge wadogo wapya bungeni
Hatujasahau ya Amina Chifupa Mpakanjia na hivi majuzi mke wa marehemu yule wa kusini aliekufa kwa ajali ya helicopter.

Hana legitimacy ya kumsema marehemu hata kidogo, sababu yeye ni mchafu na hasafishiki
 
Hizi ni siasa za kitoto.
Sasa hivi yuko kimya huyu Zitto sababu ikulu inaendeshwa na swahiba wake.
Ndio maana wameanza kupiga chepuo ufisadi yeye na Makamba eti TANESCO inafaa kubinafsishwa.

Zitto ni mpigaji mkubwa na fisadi wa wake za watu,wake za marehemu na wabunge wadogo wapya bungeni
Hatujasahau ya Amina Chifupa Mpakanjia na hivi majuzi mke wa marehemu yule wa kusini aliekufa kwa ajali ya helicopter.

Hana legitimacy ya kumsema marehemu hata kidogo, sababu yeye ni mchafu na hasafishiki
 
Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.
we kabila gani ndugu..?
 
Jiwe hawezi kuachwa lazima uchafu wake usemwe ili vizazi na vizazi vimjue, ndio maana watu wake aliowaamini na kuwapa vyeo wanafungwa kama Sabaya

Hata BWM alipokuwa kamaliza awamu zake, alisemwa na akaonekana hafai kabsaa ndani ya miezi 3 ya mwanzo ya awamu ya 4 lakin miaka 5 tu ya iyo awamu ya 4 Mwanamkwere akawa anahemea machine, BWM akaonekana alikuwa mwamba sanaaaa! Hata awamu hii ya 6 mtaikataa tu ndo hapo JPM ataonekana alikuwa mwamba kweli kweli! Wakati ukuta.
 
Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati Magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika.


Zitto- Ulipinga mambo yafuatayo wazi wazi

1. Ujenzi wa Bwawa la Nyerere kwa kigezo cha EIA
2. Mkopo wa World Bank Tanzania kusaidia elimu
Ulitegemea upendwe? Ukishaamua kutofautina na mamlaka wala hakuna kingine cha kutegemea
 
Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati Magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika.


Zitto ni mdini, mnafiki,Anapenda kula hela kwa unafiki wake na kama JK ndo alijenga barabara nyingi waziri wa ujenzi alikuwa nani? Huyo kikwete unayemsifia vipi mkoa wako masikini wa kutupwa kigoma kikwete alikujengea barabara! Stupid unajifanya kujua sana ndo maana hata CHADEMA walikufukuza huna maana!
 
Naona
Naona timu Mizoga imepanga ratiba ya kumchafua Magufuli.Kumbe ndio mambo wanazidi kuyafanya magumu upande wao.Zitto mwenyewe usoni ana fungus za kutosha.
Hahahhaa uso ake umejaa unafiki matokeo yake anatokewa na fungus!
 
Back
Top Bottom