mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Diallo ye alisema yule jamaa alikua na file lake kabisa Milembe.
nchi nzima ikamwona hamnazo,isipokuwa mbuzi wachache tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diallo ye alisema yule jamaa alikua na file lake kabisa Milembe.
Ukiwa kiongozi wa nchi tayari wewe ni nembo ya taifa, utasemwa vizur au vbaya ukiwa Hai au umekufa..hata marekani bado mpaka Leo wanamsema raisi Richard Nixon. Roosevelt na wengine.... Huwez ukawafumba watu midomoZitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata kigoma hana ushawishi kabisa.
dege 11 ulizijuaje wakati hakukuwa na uhuru? Na unasema kabisa zinatangazwa. Yaani unajipiga mwenyewe na unalia mwenyewe.
Sasa hivi yuko kimya huyu Zitto sababu ikulu inaendeshwa na swahiba wake.
Ndio maana wameanza kupiga chepuo ufisadi yeye na Makamba eti TANESCO inafaa kubinafsishwa.
Zitto ni mpigaji mkubwa na fisadi wa wake za watu,wake za marehemu na wabunge wadogo wapya bungeni
Hatujasahau ya Amina Chifupa Mpakanjia na hivi majuzi mke wa marehemu yule wa kusini aliekufa kwa ajali ya helicopter.
Hana legitimacy ya kumsema marehemu hata kidogo, sababu yeye ni mchafu na hasafishiki
we kabila gani ndugu..?Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.
Jiwe hawezi kuachwa lazima uchafu wake usemwe ili vizazi na vizazi vimjue, ndio maana watu wake aliowaamini na kuwapa vyeo wanafungwa kama Sabaya
baada ya kumsema akapigiwa risasi..!Sasa zitto kabwe kwanini hakuongea hayo wakati Magufuli akiwa hai?
Katika sekeseke lote hilo Lissu ndiye shujaa maana alikua haogopi kumsena Magufuli wazi wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati Magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika.
Wewe mfuasi wa gaidi mbona una basira sana?Usinilazimishe wewe sukuma gang
Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati Magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika.
Hata kama kweli ndege ni mpya , the fact ni kuwa zoezi zima la ununuzi wa ndege liliendeshwa kwa usiri wa mtu mmoja , Watu wana uwezo wa kusema chichote kuhusu ndege hizo maana hakukuwa na uwazi .Mtu anasema ndege zinanunuliwa mitumba wakati si kweli halafu anataka achekewe! Hatujasahau sisi!!!
Mataahira hao tena Zitto udini ndo namba moja kwake huku kigoma ikiwa haina miundombinu yeye anamsifia kikwete kwakuwa alimpa ulaji na dini moja!Wanahangaika sana na Hayati, sijui shida ni nini? Au wameona bila kumchafua kick hazibambi?
They need to get over it and move on.
Mbowe hakuwai kuongoza nchi ,Na Mbowe pia usisahau
Kwa hiyo CV ya makaratasi ya vyuo vya kibongo ndo akili? Kuna wapumbavu wengi tu mtaani wana hayo makaratasi yanitwa CV na hawana maana yeyote!CV yako kama hutojali mkuu ili tuipime na ya Zitto tujue ni nani takataka kati yenu??
Tatizo udini na unafiki!Yaani mtu aliyemchukia ndio akampelekea na ndege ya serikali Kigoma akamgharamia wakati alipopata ajali! Iseee
Hahahhaa uso ake umejaa unafiki matokeo yake anatokewa na fungus!Naona
Naona timu Mizoga imepanga ratiba ya kumchafua Magufuli.Kumbe ndio mambo wanazidi kuyafanya magumu upande wao.Zitto mwenyewe usoni ana fungus za kutosha.
Kwa hiyo CV ya makaratasi ya vyuo vya kibongo ndo akili? Kuna wapumbavu wengi tu mtaani wana hayo makaratasi yanitwa CV na hawana maana yeyote!