Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Waongeee tu ila kuna siku watakaa na kukiri kua tangu tupate marais ukimtoa baba wa taifa ni Jembe Magufuli ..tinga tinga yule jamaa achana nae kabisa ameitengeneza tanzania kwa miaka sita ikapendeza kwa miladi kibao ww ulipo huko ni shahidi ila kwa kua binadam hatuna shukrani tumejaa hila na kuhesabu mabaya tu.Namuombea sana Mungu ampunguzie adhabu za kaburi
Huna akili kabisa wewe mushuti
 
Malaya wa kisiasa huyu, baada ya mrija kukatwa akaongeza chuki kwa John Pombe Magufuli. Hakuna mwanasiasa pale bali mchumia tumbo ndio maana CHADEMA walimumwaga kwa tamaa zake, hivyo Zitto kabwe hana tofouti na malaya wa sinza pale wanapoona bia kwenye meza.
Mtu anasema ndege zinanunuliwa mitumba wakati si kweli halafu anataka achekewe! Hatujasahau sisi!!!
 
Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata kigoma hana ushawishi kabisa.
Huyo jamaa nimeamini ni mnafiki sana....
Wakati wa Magu alikuwa anapinga almost kila kitu.......
Wakati huu yupo kimya kama maji ya mtungi...
sijui wameshamfinyia chake!!!??
sidhani kama chama chake kuunda umoja wa kitaifa kule Zenji ni sababu ya msingi wa yy leo kuwa kimya bila ukosoaji wwte
ukisema ni mdini hujakosea
 
Huna akili kabisa wewe mushuti
Ww mwenye akili umeilisaidia nn taifa ama ndo kukaa kuona mabaya ya watu tu. Yaan kuna watu humu mnamchukia Magufuli hata ukiulizwa sababu ni zipi huna ila ni chuki tu za kipumbavu.Jamani kwa nn binadam tuna roho za kishetani namna hii leo hii mnamsifia mama nae akiondoka mtaanza unafiki wa kumsema km mlivo kua mnamsema mzee wa msoga .Jifunzeni kuvumilia mapungufu ya wengine.
 
Ww mwenye akili umeilisaidia nn taifa ama ndo kukaa kuona mabaya ya watu tu. Yaan kuna watu humu mnamchukia Magufuli hata ukiulizwa sababu ni zipi huna ila ni chuki tu za kipumbavu.Jamani kwa nn binadam tuna roho za kishetani namna hii leo hii mnamsifia mama nae akiondoka mtaanza unafiki wa kumsema km mlivo kua mnamsema mzee wa msoga .Jifunzeni kuvumilia mapungufu ya wengine.
Usinilazimishe wewe sukuma gang
 
Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata kigoma hana ushawishi kabisa.
Hivi unajua HITLER na IDD AMINI hawawezi kujitetea kwa sasa lkn wanasemwa mpaka.
 
Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
Acha utoto yaani serikali iache kumulika miradi ya maendeleo ...ianze kumulika vipindi vya watu kisa mtu kachafuliwa. Yule hajachafuli
 
IMG_4333.jpg
 
Wewe dogo lazima ukubali kuwa nyakati zinabadilika.

Utakonda bure au kukosana na watu kwa mambo yaliyo pita kitambo.

Lazima ujue kuwa kwa sasa tupo na awamu ya 6.
Watanzania wa sasa kwa unafiki hawajambo,wanachojari ni mkate tu na si vinginevyo.
Hawana aibu kufanya lolote ilimradi wanasifu na kuabudu mezani pa watawala.
 
Wangepambana nae akiwa hai yangewakuta ya lissu.

ndio uanamume huo, sasa mnataka urahisi urahisi tu....hata hela yenyewe tunaitafuta kwa mateso balaaa...Hakuna haki inayokuja kirahisi duniani au kwa kutegemea huruma ya huyo unayepambana naye....
 
Mad man magu hakupenda watu wanaojenga hoja Bali wakatili ndomana wazee walitishwa waache kuwashwawashwa,maaskofu walosema kweli waliambiwa hiiiiiii.... Kina "napi,Januali"walitupwa nje wakabebwa kina "hapy,Mulo,nakonda,sabay,kasesela" nk. na ndio washkaji zake...
S.I.H (Suffer In Hell)
alale pabaya motoni!!
 
Back
Top Bottom