Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Mwanaumwe unataka upendwe hili iweje zitto
Na unataka uchukiwe ili ulishwe sumu na kupigwa shaba??!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaumwe unataka upendwe hili iweje zitto
Nimemaanisha magu hakuifikisha popoteKwani wenzie walikuwa wanachimba hela kama viazi hadi kufikia hatua hiyo? Si walikuwa wanatafuta pesa.
Kwa hiyo bado ilikuwa kwenye makaratasi au? Hivi una umri gani kwanza? samahani sio kwa ubayaNimemaanisha magu hakuifikisha popote
Samahani kumbe ni dada. Basi nakutakia usiku mwema. Sleep well.Nimemaanisha magu hakuifikisha popote
Eti magufuli alikua anamchukia. Kwa hiyo samia anampenda?🤣🤣Ukisikia mwanasiasa ameishiwa hoja ndio kama hivyo🤔🤔
Mnakili Sasa ndiyo aliyeuwa kina Ben saanane na kupiga Lisu risasiAngemchukia asingemdekeza
Huyu jamaa alipewa first class care alipopata ajali
Kwa mdomo ule wenzake walinyoroshwa
Yeye alibaki anadunda na kuongeza wake tu
Mbona Lisu aliongea Magufuli akiwa hai na mkampiga risasi.Ben saanane kaongea mkamuuwa? Acheni unafiki wenu. MAGUFULI ALIKUWA MUUWAJI HILO LIKO WAZI.Ni ujinga mtupu kusutana na mtu ambae tayar ameshafariki. Zito angekuwa na uhakika wa haya ayasemayo angeongea wakati hayati Magufuli alipokuwa hai. Zito ni mmoja wa wanasiasa wa hovyo na waongo sana nchini.
[emoji38][emoji38][emoji38] Ukiambiwa kipindi chenyewe ni cha serikali utafanyaje ?Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
Kutetea legacy ya Sadist inahitaji kichwa cha mwendawazimu.Leo jion machinga wakifunga virago vyao wakipiga kelele wakiita magufuliiiiiiiiiii uko wapi?
Nilisema ni zamu yenu kati yao kuna walofurahi jpm wetu kufa, wakati huo tulilia kwa uchungu leo nao wanasaga meno.
Mimi sijui walichosema hao wawili, lakini inaonekana wewe ni mbaya kabisa kuzidi wao.Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
EeeenHeee![emoji38][emoji38][emoji38] Ukiambiwa kipindi chenyewe ni cha serikali utafanyaje ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kwani una gain nn kumchafua mtu aliemaliza muda wake dunian... Hii ndo siasa aisee uwez kuwa kiongoz wa nchi alafu kila mtu atambue au akuchukulie positive Yani serikali ipoteze muda kisa Kuna mwanasiasa ajatambua kazi ya kiongoz fulani Camon Africa tuache hii si lazima kila mtu aone kiongozi fulani alikua boraHamna mwanasiasa yoyote atakayeweza kumchafua Magufuli.
Kazi za Magufuli zinaobekana kwa macho ila kazi za wachafuzi hamna hata moja inayoonekana wsmekalia maneno tu.
Kwa hiyo huyo Zito amepoteza muda na heshima yake kwa jamii.
Kumbe anaharishia watu anaumwa Nini....ndio maana alikuwa na maamuzi ya kijuha kumbe tumbo lanisokta🖕Hayati anawahahisha watu mhaho usiopoa
Zitto ni mwanasiasa haiwezekani akamsifia mwanasiasa wa chama kingine, nawe tueleze aliyokuwa akiyafanya mwendazake yote yalikuwa sahihi?Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
mtaani approval ya JPM iko juu sana sasa mnoHamna mwanasiasa yoyote atakayeweza kumchafua Magufuli.
Kazi za Magufuli zinaobekana kwa macho ila kazi za wachafuzi hamna hata moja inayoonekana wsmekalia maneno tu.
Kwa hiyo huyo Zito amepoteza muda na heshima yake kwa jamii.
Kama vipi mfuate huko jehanam ukamsifie.Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
Utamchafuaje mtu mchafu? Anthony Diallo wa CCM Mwanza alikwisha tuambia kuwa Mwendazake alikuwa kichaa. Unamchafuaje kichaa kwa mfano?Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
Hivi nikweli hicho unacho kisema ?Zitto ni takataka kama zilivyo takataka zingine zilizoko dampo