Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Tumia akili hiko kichwa sio begi la menoWewe dogo lazima ukubali kuwa nyakati zinabadilika.
Utakonda bure au kukosana na watu kwa mambo yaliyo pita kitambo.
Lazima ujue kuwa kwa sasa tupo na awamu ya 6.