Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Kwani JK alikuwa anawalisha mdomoni kwa kijiko hilo genge lake?
Duh. We ulikuwa wapi? Uliwahi kuisikia taarifa ya kamati ya madini ambayo zito aliwekwa na JK baada ya kuonekana anapiga sana kelele bungeni kuhusu barrick?
 
We kweli tindo..kwa hiyo vyombo vya habari kutokuwa huru ndio vinakuonyesha mfugale flyover, tanzanite bridge, daraja la kigongo busisi, mfugale flyover, hispital za rufaa mbeya, mtwara na mara?
Kwa kuwa tulipewa taarifa za upande mmoja, ni vigumu watu tusiojua kutafakari na kuhoji mambo kupokea kila kitu tunachopewa na mpewaji kama kilivyo na kushangilia!

Hii haimaanisha tulichopewa ni SAHIHI!
 
Kukata mzizi wa fitina, weka jedwali la hivyo vituo vya afya vilipo, ujenzi ulianza lini, thamani ya kituo, tuone kama vitafika hiyo vituo 400+. Zama za kuongopea watu zimeisha.
i tindo..kwa hiyo vyombo vya habari kutokuwa huru ndio vinakuonyesha mfugale flyover, tanzanite bridge, daraja la kigongo busisi, mfugale flyover, hispital za rufaa mbeya, mtwara na mara?
 
Kwa kuwa tulipewa taarifa za upande mmoja, ni vigumu watu tusiojua kutafakari na kuhoji mambo kupokea kila kitu tunachopewa na mpewaji kama kilivyo na kushangilia!

Hii haimaanisha tulichopewa ni SAHIHI!
We ni kiwete wa akili? Kwa nini usitafute taarifa. Basi bora ukae kimya utuache tuliotafuta huo ukweli.
 
Sikuisikia, nilisikia ya profesa Ussoro iliyokuwa ya uongo wa wazi kuwa tunawadai bariki $192b sawa na shilingi 400t!
Duh. We ulikuwa wapi? Uliwahi kuisikia taarifa ya kamati ya madini ambayo zito aliwekwa na JK baada ya kuonekana anapiga sana kelele bungeni kuhusu barrick?
 
Kukata mzizi wa fitina, weka jedwali la hivyo vituo vya afya vilipo, ujenzi ulianza lini, thamani ya kituo, tuone kama vitafika hiyo vituo 400+. Zama za kuongopea watu zimeisha.
Hata ukipewa utaona unaongopewa. Baki hapo hapo.
 
Sikuisikia, nilisikia ya profesa Ussoro iliyokuwa ya uongo wa wazi kuwa tunawadai bariki $192b sawa na shilingi 400t!
Basi jitahidi kutafuta taarifa. Itakusaidia. Usipende sana kutemewa mdomoni.
 
Hata ukipewa utaona unaongopewa. Baki hapo hapo.

Nitaona naongopewa wakati vitu vinaonekana? Ndege 11 nimeziona na mnalazimisha kuzionyesha maana zipo, na sisemi naongopewa japo hazina tija. Kipi kinawashinda kuweka jedwali ili mtufunge midomo?
 
We ni kiwete wa akili? Kwa nini usitafute taarifa. Basi bora ukae kimya utuache tuliotafuta huo ukweli.
Ni bahati mbaya tu elimu yetu miaka ya hivi karibuni imetupa hybrid ya vijana wajinga, wachumia tumbo, waabudu uteuzi na wanaoamini matusi katka kujenga hoja kiasi kwamba hata ile akili ya kawaida ambayo angeipata pasipo kukanyaga shule ingewawezesha vijana hao kuwa na akili hata kidogo tu ya kujenga hoja nje ya matamio ya niliyotaja hapo juu.

Ni vema kabisq nikakaa kimya kuacha vijana wa namna hiyo "wanaotuta ukweli" kwa kujiegemeza katika kujipendekeza, matusi, uteuzi, ujuaji na mengine kama hayo.
 
Nitaona naongopewa wakati vitu vinaonekana? Ndege 11 nimeziona na mnalazimisha kuzionyesha maana zipo, na sisemi naongopewa japo hazina tija. Kipi kinawashinda kuweka jedwali ili mtufunge midomo?
Si unaona akili yako?. Eti mnalazimisha..hivi ulizikuta uwanja wa sabasaba au ulifuatwa kwako kwa nguvu ukazione.? Vikionekana unasema vinalazimishwa hapo hapo unasema hakuna uhuru wa vyombo vya habari. Duh baadhi ya wenzetu mna safari ndefu kwenye nchi hii.
 
Nikatafute taarifa kwa wapika data? Hao waliosema waliojiandikisha kupiga kura ni 29m, wakati watanzania tuko karibia 60m, yani nusu ya watanzania wote wako above 18yrs!? Hao waliosema TTCL inatoa gawio serikalini kutokana na biashara kuwa nzuri,leo tunaambiwa deni lao linazidi mtaji wao. Kaa kimya tu maana huna jipya.
Basi jitahidi kutafuta taarifa. Itakusaidia. Usipende sana kutemewa mdomoni.
 
Uhuru wa habari sio kutangaza yanayopendwa na serikali tu, huenda hujui uhuru maana yake ni nini?
Si unaona akili yako?. Eti mnalazimisha..hivi ulizikuta uwanja wa sabasaba au ulifuatwa kwako kwa nguvu ukazione.? Vikionekana unasema vinalazimishwa hapo hapo unasema hakuna uhuru wa vyombo vya habari. Duh baadhi ya wenzetu mna safari ndefu kwenye nchi hii.
 
Vipi mega projects kama SGR, JNHPP, HOSPITAL ZAHANATI na VITUO VYA AFYA, madaraja ya kisasa kama kijazi, tanzanite, busisi, wami, kule uhasibu.?
Mloganzila,maboresho muhimbili,Benjamin mkapa hospital,ajira za kumwaga,mikopo elimu ya juu,kupanda madaraja watumishi,mishahara,ruzuku kilimo...sgr bdo ipo Moro,jnhdp bado inatambaa,ni miradi ambayo mama anaitafutia hela bado
 
Ni bahati mbaya tu elimu yetu miaka ya hivi karibuni imetupa hybrid ya vijana wajinga, wachumia tumbo, waabudu uteuzi na wanaoamini matusi katka kujenga hoja kiasi kwamba hata ile akili ya kawaida ambayo angeipata pasipo kukanyaga shule ingewawezesha vijana hao kuwa na akili hata kidogo tu ya kujenga hoja nje ya matamio ya niliyotaja hapo juu.

Ni vema kabisq nikakaa kimya kuacha vijana wa namna hiyo "wanaotuta ukweli" kwa kujiegemeza katika kujipendekeza, matusi, uteuzi, ujuaji na mengine kama hayo.
Unafikiria habari za uteuzi wakati jina lenyewe halieleweki.? Kwa akili hiyo maana yake ulichokisema ndio kimekutawala. Jichunguze vizuri.
 
Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana!

Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo niliamza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.

Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto!

Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake!!
Eti magufuli alikua anamchukia. Kwa hiyo samia anampenda?🤣🤣Ukisikia mwanasiasa ameishiwa hoja ndio kama hivyo🤔🤔
 
Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata kigoma hana ushawishi kabisa.
Jinga wewe
 
Nikatafute taarifa kwa wapika data? Hao waliosema waliojiandikisha kupiga kura ni 29m, wakati watanzania tuko karibia 60m, yani nusu ya watanzania wote wako above 18yrs!? Hao waliosema TTCL inatoa gawio serikalini kutokana na biashara kuwa nzuri,leo tunaambiwa deni lao linazidi mtaji wao. Kaa kimya tu maana huna jipya.
Duh sasa hizo taarifa za deni umezitoa wapi? Si umepewa kama ulivyopewa taarifa zingine? Au taarifa ambazo ni negative ndio sahihi kwako? Shida ya baadhi ya wabongo wakiambiwa hana malaria hawajiamini na wanaweza kupima tena, ila wakiambiwa una malaria ndio wanakuwa comfortable.
 
Mloganzila,maboresho muhimbili,Benjamin mkapa hospital,ajira za kumwaga,mikopo elimu ya juu,kupanda madaraja watumishi,mishahara,ruzuku kilimo...sgr bdo ipo Moro,jnhdp bado inatambaa,ni miradi ambayo mama anaitafutia hela bado
Kwani wenzie walikuwa wanachimba hela kama viazi hadi kufikia hatua hiyo? Si walikuwa wanatafuta pesa.
 
Back
Top Bottom