Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wacha hilo gamba liendelee kujidanganyaZanzibar ni moja, watu kama wewe Hussein Mwinyi hataki kuwaona Zanzibar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha hilo gamba liendelee kujidanganyaZanzibar ni moja, watu kama wewe Hussein Mwinyi hataki kuwaona Zanzibar.
Huna akili kabisa wewe mushutiWaongeee tu ila kuna siku watakaa na kukiri kua tangu tupate marais ukimtoa baba wa taifa ni Jembe Magufuli ..tinga tinga yule jamaa achana nae kabisa ameitengeneza tanzania kwa miaka sita ikapendeza kwa miladi kibao ww ulipo huko ni shahidi ila kwa kua binadam hatuna shukrani tumejaa hila na kuhesabu mabaya tu.Namuombea sana Mungu ampunguzie adhabu za kaburi
Mtu anasema ndege zinanunuliwa mitumba wakati si kweli halafu anataka achekewe! Hatujasahau sisi!!!Malaya wa kisiasa huyu, baada ya mrija kukatwa akaongeza chuki kwa John Pombe Magufuli. Hakuna mwanasiasa pale bali mchumia tumbo ndio maana CHADEMA walimumwaga kwa tamaa zake, hivyo Zitto kabwe hana tofouti na malaya wa sinza pale wanapoona bia kwenye meza.
Huyo jamaa nimeamini ni mnafiki sana....Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata kigoma hana ushawishi kabisa.
Ww mwenye akili umeilisaidia nn taifa ama ndo kukaa kuona mabaya ya watu tu. Yaan kuna watu humu mnamchukia Magufuli hata ukiulizwa sababu ni zipi huna ila ni chuki tu za kipumbavu.Jamani kwa nn binadam tuna roho za kishetani namna hii leo hii mnamsifia mama nae akiondoka mtaanza unafiki wa kumsema km mlivo kua mnamsema mzee wa msoga .Jifunzeni kuvumilia mapungufu ya wengine.Huna akili kabisa wewe mushuti
Usinilazimishe wewe sukuma gangWw mwenye akili umeilisaidia nn taifa ama ndo kukaa kuona mabaya ya watu tu. Yaan kuna watu humu mnamchukia Magufuli hata ukiulizwa sababu ni zipi huna ila ni chuki tu za kipumbavu.Jamani kwa nn binadam tuna roho za kishetani namna hii leo hii mnamsifia mama nae akiondoka mtaanza unafiki wa kumsema km mlivo kua mnamsema mzee wa msoga .Jifunzeni kuvumilia mapungufu ya wengine.
Hivi unajua HITLER na IDD AMINI hawawezi kujitetea kwa sasa lkn wanasemwa mpaka.Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata kigoma hana ushawishi kabisa.
Kumbe anaharishia watu anaumwa Nini....ndio maana alikuwa na maamuzi ya kijuha kumbe tumbo lanisokta🖕
Acha utoto yaani serikali iache kumulika miradi ya maendeleo ...ianze kumulika vipindi vya watu kisa mtu kachafuliwa. Yule hajachafuliSalama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
Watanzania wa sasa kwa unafiki hawajambo,wanachojari ni mkate tu na si vinginevyo.Wewe dogo lazima ukubali kuwa nyakati zinabadilika.
Utakonda bure au kukosana na watu kwa mambo yaliyo pita kitambo.
Lazima ujue kuwa kwa sasa tupo na awamu ya 6.
Upo sahihi kabisa kiongoziWatanzania wa sasa kwa hawajambo,wanachijari mkate tu na so vinginevyo.
Wangepambana nae akiwa hai yangewakuta ya lissu.
Cm unayo,googleLeta vivid evidence, sio maneno yako tu
Na Mbowe pia usisahauJiwe hawezi kuachwa lazima uchafu wake usemwe ili vizazi na vizazi vimjue, ndio maana watu wake aliowaamini na kuwapa vyeo wanafungwa kama sabaya
Very possible mamaako nilimwacha shuleKwa hiyo bado ilikuwa kwenye makaratasi au? Hivi una umri gani kwanza? samahani sio kwa ubaya
Jiwe hawezi kuachwa lazima uchafu wake usemwe ili vizazi na vizazi vimjue, ndio maana watu wake aliowaamini na kuwapa vyeo wanafungwa kama sabaya