Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Hayati ni neno la kiarabu lenye maana ya aliye hai,viongozi wanaitwa hayati kwa kuwa matendo yao hudumu milele yakiathiri vizazi,kwa hiyo watasemwa tu ili Kama inauma Basi mahayati watarajiwa wasifanye ya hovyo, zitto kaongea ukweliZitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na marehemu kwani ni lazima tukiongea tumhusishe mtu aliyekufa tayari.
Zito, Kitila, Mwigamba...hawa hela yao walikuwa wanapokea kupitia Ramadhan Dau wa NSSF. Wanajulikana sana malaya wa kisiasa.Zitto ni mwizi wa kisasa, nakumbuka enzi za akina Slaa Zitto alisumbua sana chadema, mpaka akina Slaa wakawa wanamkaimisha ofisi Myika, Mpaka akina Kikwete wakamsaidia kumfungulia chama ili kuigawanya chadema.Baati mzuri Magufuri alivyoingia tu madarakani alikuwa anajua mamluki wote, hivo mamluki wote aliwasagia kunguni,nandio chanzo cha Zitto kuanza chuki na Magufuri.Zitto ni tapeli wa siasa tu,yeye kuuza mechi ili mkono uende kinywani haoni asara
Mabaki ya nduli.Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
Serikali wenyewe wanafurahia MagufuLi kuchaguliwa kwani wanaopanga hizo ratiba za kuchafua ni wapiga dilI akiwemi Zitto huku SSS AKIFUTAHIA KUMWAGIWA SIFA. LAKINI YA MUNGU MENGI..HUENDA UACHAFU WANAOMRUSBIA MWENDAZAKE UKAWARUKIA WAOSalama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
Huwa nakuheshimu Sana, Technically, imagine this hypothetical scenario, angelikuwa amemuua mama, baba na mtu Yeyote aliyempendwa wako ungelisema tusimseme màrehemu, for that matter Magufuli?Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na marehemu kwani ni lazima tukiongea tumhusishe mtu aliyekufa tayari.
Kwa mini unamuita ayatollah🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👍🏽 Ayatollah Zitto kuna siku aliingia Maria Space akapewa nafasi ya kuzungumza alipomaliza alijua kutakuwa na maswali mengi basi akakimbia na hajarudi tena na sijui kama atarudi.
Waliochukua mabilioni ya fisadi ili agombee kupitia chama wanaitwa Alina Nani?Zito, Kitila, Mwigamba...hawa hela yao walikuwa wanapokea kupitia Ramadhan Dau wa NSSF. Wanajulikana sana malaya wa kisiasa.
Hawajamchafua, baadhi ya mambo hata marehemu alikiri wakati yupo hai kwa mfano siku ya uzinduzi wa Mloganzila alisifiwa sana na mawaziri but akasema yeye hajafanya kitu ila ni juhudi za Kikwete zileSalama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
It is not a matter of being woga, it is a matter of avoiding to be a dead hero!Jamani JPM ameshakufa kutimiza ibada ya Mwenyezi Mungu kama ambavyo wote tutamiza, mlipaswa kupambana naye akiwa hai..hizi kelele dhidi yake akiwa ameshalala hazina maana zaidi ya kuwaanika mlivyo waoga tu..
Wamelikula Sana hela za ruzuku wale,wacha wazitumikieTaratibu tunasahau maamuzi ya kesi ndogo ndani ya kesi kubwa! Ni rahisi kama kubadili steisgeni ya runinga!
Kwanza ndo wanatoa ufadhili wa hicho kipindiUnadhani Makamba,Nape,Shaka,Kinana wanasikitika kwa aliyoyasema Zitto?
Miaka minne ya mwanzo wa utawala magu,alikopa sawa na kikwete alivyokopa miaka kumi,jk kajenga Zaid ya 6000km,magu 1004kmSalama hajaongoza kipindi kwa uwiano.yeye mwenyewe anachuki binafsi na magufuli.wanahabari wa kitanzania kufikia viwango vya kina salim kikeke,Charles hilali bado sana.huwezi kumuachia MTU unayemuhoji amtupie MTU lawama bila kumuoji kisa ni nini?.unamuacha anajieleza bila kumuuliza swami.mfano amesema jk ndio rais aliyejenga barabala km nyingi kuliko rais yeyote tz.jk miaka kumi magufuli miaka 5 na miezi 5 ametengeneza km ngapi? Ndio hayo yalitakiwa kuulizwa.na alikopa sh ngapi nje na magufuli alikopa sh ngapi nje.
Yaani kwa vile wewe hujafurahi, ndiyo serikali ichukue hatua?Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika