inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hao wakifika kwenye dini uelewa huwa unashukaHuwa nakuheshimu Sana, Technically, imagine this hypothetical scenario, angelikuwa amemuua mama, baba na mtu Yeyote aliyempendwa wako ungelisema tusimseme màrehemu, for that matter Magufuli?
Mabaki ya nduli.
Hamna mwanasiasa yoyote atakayeweza kumchafua Magufuli.Hahahaha kipindi kitafungiwa hiko [emoji23][emoji23][emoji23]
Amesema wazi kuwa shujaa wao wa Afrika anahusika na risasi za Lissu
[emoji38][emoji38][emoji38]Acha ushoga,mwanaume kwa mwanaume watakuwaje vipenzi?
Exactly, kasoro kubwa Yao Ni hiyo. Temp 40 at Tanga mtu amevaa baibui all over her body, Tena a black one, a good absorber of heat! Ukimuuliza Lisa na jot anasema Dini!Hao wakifika kwenye dini uelewa huwa unashuka
Una uhakika na hizi takwimu au number zimekujia tu kichwani ukaamua kuzibandika hapa?[emoji1787][emoji1787], JF ya kipindi hiki imejaa vilaza sana, sijui tatzo ni nn?Miaka minne ya mwanzo wa utawala magu,alikopa sawa na kikwete alivyokopa miaka kumi,jk kajenga Zaid ya 6000km,magu 1004km
Tanzania haijawahi fikisha joto 40Exactly, kasoro kubwa Yao Ni hiyo. Temp 40 at Tanga mtu amevaa baibui all over her body, Tena a black one, a good absorber of heat! Ukimuuliza Lisa na jot anasema Dini!
Simu unayo, let mbadala wa hizoUna uhakika na hizi takwimu au number zimekujia tu kichwani ukaamua kuzibandika hapa?[emoji1787][emoji1787]
Basi sema wewe ngapiTanzania haijawahi fikisha joto 40
Sana 33Basi sema wewe ngapi
Mkuu una uhakika na data zako? 6000kmMiaka minne ya mwanzo wa utawala magu,alikopa sawa na kikwete alivyokopa miaka kumi,jk kajenga Zaid ya 6000km,magu 1004km