Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Zitto alipopata fedha nyingi,akaziweka Dubai,alipewa na Serikali ipi,nimesahau?
Kwani wale walioua watu walikuwa hawajui kwamba wapo majaji katika nchi hii?
Sheria za nchi toka lini zikawahusu Watu wa Usalama wa Taifa?
Magufuli ameingia madarakani,amewaongeza walinzi wake mishahara,katika kuonyesha shukrani zao,wameua watu left and right? Sasa,utawafanys nini wauaji? Unataka Rais Samia awakamate walinzi wake? Awakamate na nini? Awakamate na walinzi wengine?
Swali hapa Ni utaratibu gani unatumika kuamua nani ni mhalifu na utaratibu gani unatumika kumuadhibu.
Kibaka akiiba,anapelekwa jela,basi. Mhaini akikamatwa,anapelekwa jela,anayesema. Siyo kufungws tu: anafungwa na kuteswa.
Hapa Kuna kuna fujo. Unsongea kuhusu mkuu wa Usalama wa mkoa,ambaye pia Ni mkuu wa mkoa. Hiyo ni fujo. Mossad wakitaka kumuua mtu,wanaongea na Waziri Mkuu tu.
Siku hizi,hainikubwa Ni mwanachama wa Upinzani.
Kwani wale walioua watu walikuwa hawajui kwamba wapo majaji katika nchi hii?
Sheria za nchi toka lini zikawahusu Watu wa Usalama wa Taifa?
Magufuli ameingia madarakani,amewaongeza walinzi wake mishahara,katika kuonyesha shukrani zao,wameua watu left and right? Sasa,utawafanys nini wauaji? Unataka Rais Samia awakamate walinzi wake? Awakamate na nini? Awakamate na walinzi wengine?
Swali hapa Ni utaratibu gani unatumika kuamua nani ni mhalifu na utaratibu gani unatumika kumuadhibu.
Kibaka akiiba,anapelekwa jela,basi. Mhaini akikamatwa,anapelekwa jela,anayesema. Siyo kufungws tu: anafungwa na kuteswa.
Hapa Kuna kuna fujo. Unsongea kuhusu mkuu wa Usalama wa mkoa,ambaye pia Ni mkuu wa mkoa. Hiyo ni fujo. Mossad wakitaka kumuua mtu,wanaongea na Waziri Mkuu tu.
Siku hizi,hainikubwa Ni mwanachama wa Upinzani.