Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya


..jibu hoja bila kumtukana Magufuli na Zitto.
 

..Magufuli alikuwa anatumia kifaa cha kusaidia mapigo ya moyo kilichotengenezwa na wazungu, halafu anakuja mtaani anasema yuko vitani na wazungu mabeberu.
 

Huna utakaoifanya maana uko nje ya nchi. Rudi uje uonyeshe nini kifanyike. Kwa sasa endelea kubeba box huko.
 
Ulitegemea ziwe grounded lini ? Kama service hamna unataka ziruke vip , hata kama ni mpya unajua service schedule yake , ndege sio Gari , hlo shirika wamedhamiria kuliua , na watu wanashangilia , ogopa sana kundi la wajinga
Serikali ndio yenye jukumu ya kufanya hizi service maana ndio mmiliki na sio shirika.

Amandla...
 
Kama hakuwa ruhusu waongee wakati zinanunuliwa kuna kosa gani wakiongea leo. After all Zitto smezungumxia mchakato mbovu wa manunuzi na Ndege 6 kuwa grounded. Huko siyo kusema Magufuli bali ni kuibua uozo kipindi kile. Hata Maza majuzi katuibulia Mamilioni kupelekwa China... Huko nako ni kusema Magufuli..!? Mwbieni CAG aache kutoa report za Awamu ile kwa kuwa mwenyewe hayupo.
 
Serikali ndio yenye jukumu ya kufanya hizi service maana ndio mmiliki na sio shirika.

Amandla...
Wakati zinakuja kwa mbwembwe na kupiga push up Airport waliona sawa. Leo wanaona tatizo kukosolewa. Hivi toka lini ndege mpya ikawa grounded in less than 5 years. Ndege zinadunda zaidi ya miaka 30. Hata MaV Eighty yao 5 years bado yanaonekana mapya.
 
Kwani we unamuamini nani kati ya zito na serikali.
Tuanzie hapo,
Angesema treni ningemuelewa sababu wote tuliambiwa tutaamza na mitumba kwanza.
 
Jamaa anachuki za kipumbavu alafu halinaga aibu.
 
Huyu mpumbavu hana kitu ingine ya kuongea?
Magufuli hayupo sasa tufanyeje tena sisi wananchi.
Badala ya kusema sera zao za chama yanarudi kulekule Magufuli blaah blaah ssi inatusaidia nini?
Ndio hawa wasomi mnawategemea wapiga ramli
 
Okay kweli jamaa alifanya jambo baya sana ila ameondoka sasa...

Vipi hawa waliopo sasa wanaotafuta Crane ya Kumaliza Bwawa kama sindano kwenye haystack ?, Vipi wanaopanga kufumua Shirika la Tanesco na kulijenga upya kwa matrillioni hao tutawazungumza lini ? Au tunangoja baada ya miaka kumi wakishaondoka ?!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…