battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,712
- 2,577
Pascal Mayalla,
Kwani wasingelijitowa kwenye ule uchaguzi,ndo uhakika kuwa wangelipewa ushindi na CCM ,si ingelikuwa wameuhalalishia dhalimu kuonekana una haki!
Mbowe alicho fanya ni sawia kwa mustakbali wa Taifa lenye kiongozi Asieheshimu haki za wengine wala Demokrasia.
Kwani wasingelijitowa kwenye ule uchaguzi,ndo uhakika kuwa wangelipewa ushindi na CCM ,si ingelikuwa wameuhalalishia dhalimu kuonekana una haki!
Mbowe alicho fanya ni sawia kwa mustakbali wa Taifa lenye kiongozi Asieheshimu haki za wengine wala Demokrasia.