Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

Mtu yeyote akisema ukweli anaonekana sio mzalendo!!!!
Msome Halima kwanza
Screenshot_20191211_071244.jpeg
 
Namshauri Zitto kabwe asibeze hatua ambayo Chadema wameamua kuchukua.Badala yake kupitia chama chake cha ACT MAENDELEO nao Wachukue Hatua waitakayo.Chadema kutaka maridhiano hakumzui Zitto na Chama chake kuingia Barabarani.
Screenshot_20191211_071224_com.twitter.android.jpeg
 
Namshauri Zitto kabwe asibeze hatua ambayo Chadema wameamua kuchukua.Badala yake kupitia chama chake cha ACT MAENDELEO nao Wachukue Hatua waitakayo.Chadema kutaka maridhiano hakumzui Zitto na Chama chake kuingia Barabarani.
Kila chama kina malengo na mipango yake; asitafute sababu za kujitafutia umaarufu wa kipuuzi. Binafsi kitendo cha kushiriki shughuli za kitaifa kwa vyama vyote vilivyo shiriki, nakipongeza sana.
 
Huyu John Mrema anajidhalilisha kwa kuandika kiingereza kibovu! arudi shule ajifunze matumizi ya ''your'' na ''you're''.
 
...this business is over, maisha yanaendelea sasa.. tunasubiri tukio jingine soon, this is Tz!.
 
Sio utoto ndio walivyo hao! Wanagombania nafasi ya chama kikuu cha upinzani! Hii ndoto ya kushika dola ni zuga kwa mashabiki maandazi na wananchi wasiojielewa.
 
Namshauri Zitto kabwe asibeze hatua ambayo Chadema wameamua kuchukua.Badala yake kupitia chama chake cha ACT MAENDELEO nao Wachukue Hatua waitakayo.Chadema kutaka maridhiano hakumzui Zitto na Chama chake kuingia Barabarani.
Ongopa chama ambacho survival yake ni mgogoro baina ya vyama viwili vikubwa, Siku vyama hivyo vikifanya maridhiano lazima kile chama mamluki, kipige kelele sana kwa .maumivu makali
 
Kigogo 2014 amekata pumzi,aendelee na ACT Wazalendo yake aachane kabisa na Chadema.
 
Tatizo Zito anajiona yeye anajua na anaweza kila kitu...na hicho ndio kilifanya akashindwa kuishi chadema....hapo alipo akili na Nguvu yake yote ni kuhakikisha Chadema inaanguka ili chama chake kiwe chama kikuu...kipindi kile cha JK chadema walifanya siasa za kiharakati
kwa wingi ambazo zilipelekea mauaji na majeruhi wengi tu yakiwemo Yakina Mwangosi...zito na baadhi ya watu walipinga na kudai chadema waache siasa za kiharakati za kudai haki...na wafanye siasa za kistaarabu...hata kipindi wenzie wanatoka bungeni kudai haki yeye alikuwa hatoki...leo itakuaje tena anageuka!....kwa kifupi a
Chadema ni adui wa Zito kuliko hata CCM.
Kigogo 2014 kaumbuka mbaya.
 
Yale Yale ya UKUTA yamejirudia Kwenye Maridhiano ya kitaifa

Kwa hili nipo pamoja na Mh ZITTO,

Upinzani Kwa Tanzania bado Sana.
 
Chadema wapo kama nyumba,wakielekezwa hata shimoni watafata tu
 
Back
Top Bottom