bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Hebu punguza jazba kwani hao majaji waliotoa hukumu wote ni waislamu?Zitto na genge lake Udini unawasumbua sana.
Acheni siasa za kupambana na Ukristo pimbi nyie
Mkuu hao watu wana matatizo kwenye ubongo, unakuta mtu hana mbele wala nyuma huyo Magufuli hakuwa akimjua ila et nae anakwambia alikuwa anaishi kwa hofu ya kuogopa kutekwa na Magufuli.
Basi hayo hata sasa yapo na huwa tunasema wanamuharibia Mama samia hatusemi mwenyewe Samia kafanya wala mfumo wake wa uongozi.Kwa taarifa yako kuna watu kibao wamefungwa, kuumizwa, kuharibiwa mali zao ambao hata Magufuli alikuwa hawajui. Kilichowaumiza ni huo mfumo wake wa utawala, na wala sio lazima iwe aliwahujumu yeye personal.
Mbona kuna watu wanasema walifaidika na miradi kadhaa ya utawala wa Magufuli, kwani hao wote alikuwa anawajua? Au hujui unaongea nini boss?
Huwa ni kigeugeu anaangalia sana maslahi yake . Kitendo cha kusema kuwa Tume huru ya uchaguzi kwanza kabla ya katiba, ilinipa wasiwasi na dhamira ya Zitto katika kupigania demokrasia ya kweli. Kwa vile zanzibar wako serikalini, hivyo anataka uchaguzi ufanyike kwa kutumia tume huru , maana atapata wabunge na hivyo ruzuku, madaraka and the like.Kwann umwamini ndugu Zitto ?
Hakuna cha nini wala nini Assad na Zitto ni wadini tena walio kubuu.Kama unakumbuka Assad akiwa mkuu wa chuo kikuu Dodoma ndiye aliyeasisi kujengwa kwa msikiti maeneo ya chuo Magufuli alipokataa taasis za dini kuchangamana na taasisi za elimu za serikali ndo mgogoro ulipoanzia na Assad kawa anamtumia Zitto kama kuikomoa serikali ya Magufuli kama unakumbuka mpaka report ya CAG ikavuja kabla ya kusomwa bungeni.Kama Zitto sio mdini aende akamuunge mkono Mzee Mbatia kuhusu kesi ya kuondolea Spika Ndugai bila kufata katiba.Ndugu kila kitu sio udini, tukiwa hivyo mbona tujiharibia utu wetu.
Je, tunaweza sema Marehemu Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu ya dini yake?
Hapana Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu maono yao yalitafautiana sana.
Machafuko unayaweza?Magufuli alikuwa ni mvunja katiba mkubwa. Ila hizo mahakama kama angekuwa hai bado zingetoa hukumu ya kumfurahisha. Bila katiba mpya tena kwa njia ya machafuko, tusitegemee hatua zozote kuchukuliwa kwa hawa walevi wa madaraka.
Cc: UHURU JR
Hakuna kitu ni Udini tu.Kama sio udini huyo Zitto akafungue kesi kuhusu kuondolewa Spika Ndugai bila kufata katiba au amuunge mkono Mbatia kwenye kesi aliyoifungua Mbatia kuhusu kutofatwa katiba katika kuondolewa kwa spika.Huyo jaji masoud ni kilaza wa kutupwa.
Haki gani weweFicha upumbavu wako. Majadiliano juu ya haki ya kikatiba.? Shule mlisomea ujinga?
Jamaa alikuwa mvunjaji mzuri wa katibaNdio nei ya mchele itashuka?
Ndio bei za mfuta zitashuka?
Ndio mfumuko wa bidhaa uliofikia 200% utashuka?
Zitto na genge lake Udini unawasumbua sana.
Acheni siasa za kupambana na Ukristo pimbi nyie
Machafuko unayaweza?
Umejipanga?
Unauwezo wa kukaa ughaibuni mpka yaishe?
Usiombe gari usiloweza endesha litakuua bure.
Hapo tu hamna machafuko unahaha kutafutia vingedere vyako chakula je kukichafuka si vitakufa ukiviona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muda mwingine sio lazima kuropoka wakati hujui athari za machafuko na yakitokea kuyazima ni kazi sana libya mpka leo miaka 11 imepita hakuna nafuu yoyote kuna miundo mbinu mpka leo haijatengamaa ww unaomba machafuko dah mtu wa hovyo sana
Kabisa huyu ZZK ni mfia dini anapenda kusimamia ishu za wavaaa dontachi, hafai kuwa kiongozi wa chama...naona awamu yao sasa.Zitto na genge lake Udini unawasumbua sana.
Acheni siasa za kupambana na Ukristo pimbi nyie
CCM uhai wake ni chini ya miaka 10 kuanzia sasa..Msimamo wangu ni kwamba kuwa na katiba mpya huku tunaendelea na CCM ni ujinga kwa sababu hawata ifuata.
Wale walikuwa haziivi, Assad alipoachia ofisi unaona kabisa jinsi alivyokuwa kajawa na makasiriko alishindwa tu kugoma.Yaani nikuteue mimi halafu nishindwe kukupiga chini ! Nitakuwa mkuu wa nchi au mkuu wa wilaya !
Uko sahihiHakuna kitu ni Udini tu.Kama sio udini huyo Zitto akafungue kesi kuhusu kuondolewa Spika Ndugai bila kufata katiba au amuunge mkono Mbatia kwenye kesi aliyoifungua Mbatia kuhusu kutofatwa katiba katika kuondolewa kwa spika.
Hapa ni swala la semantics tu. Kesi hiyo ilikuwa ni ya kikatiba na ilihusu uhalali wa sheria iliyotumika kumwondoa CAG madarakani, haikuwa inahusu mamlaka ya rais kumwondoa CAG madarakani kwa kutumia sheria hiyo iliyopingwa. Kwa hiyo kumwinganisha Magufuli kwenye hukumu hiyo ni makosa kwani yeye hakuwa mshitakiwa.Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter
Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.
View attachment 2436886