Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Prof alishaelezea kuhusu jina lake na vip kuitwa Mussa.Hajatumia cheti Cha mtu ni kama wengine waliorudia darasa la Saba kupata nafasi ya kuingia sekondari.Nilijua Hilo kupitia mtu aliyesoma Naye shule ya msingi huko Tanga siku nyingi hata kabla ya Magufuli kuwa Rais.Wapo wengi waliorudia shule na wanatumikia nchi vizuri tu.
 
Kurudia shule sio kutumia cheti cha mtu mwingine kama ilivyosemwa hapo juu....
 
Alirudia shule na kubadilisha majina kwa kifungu gani cha Sheria?

Samahani lakini!
 
Ukirudia shule unabadilisha jina? Basi sawa.
 
Duh!....hizi ni speculation tu...hata wewe huna uthibitisho
 
Mara nyingi vilaza wana bla bla nyingi kama Hugo assad
 
Weka ushahidi wa kutumia jina la mtu mwingine shule...............
Wanakuja na njia ya kujaribu kupunguza mashambulizi kwa awamu ya tano. Njia moja nyepesi sana ya kujaribu kuficha aibu inayoiandama serikali ya awamu ya tano. Na nina uhakika hawezi kuweka hadharani huo ushahidi uliomuomba.
 
Kutumia cheti cha mtu mwingine Form Four ni dhambi kubwa!!!!! Hili halisameheki
 
Wanakuja na njia ya kujaribu kupunguza mashambulizi kwa awamu ya tano. Njia moja nyepesi sana ya kujaribu kuficha aibu inayoiandama serikali ya awamu ya tano. Na nina uhakika hawezi kuweka hadharani huo ushahidi uliomuomba.
Phillips ungesoma wakati wetu wala usingehitaji ushahidi kwa sababu hiyo ilikuwa ni kawaida sana

Bahati nzuri kuna mdau keshasema hapa kuwa Jaffar mwenyewe alishakiri kwamba alibadili jina ilu akariri darasa la saba

Sasa unataka ushahidi gani?

Sisi wahenga tunajuana sana bwashee
 
Vip Makamba aliyeiba Mthihani wa kidato Cha nne na kufutiwa matokeo?
Acha upuuuzi wewe!!! Kuiba mitihani si sawa na kutumia cheti cha mtu cha form four!!!!!!!!!! Ingawa zote ni dhambi hii ya cheti ni kubwa. Na makamba anatakiwa kufukuzwa kwa kosa la kuiba mitihani!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…