Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Hatimae Mahakama Kuu imethibitisha bila shaka Rais Magufuli na mwenyekiti wa CCM alivunja Katiba ya nchi iliyomuweka madarakani na aliyoapa kuilinda na kuitetea lakini akaivunja kwa kumwondoa CAG kinyume na Katiba.

Najiuliza hivi hakuwa na washauri? Au washauri wake wana uwezo mdogo juu ya Katiba? Je, waliomshauri watachukuliwa hatua gani?

Kuna watu walihoji uwezo mdogo wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali lakini wakapuuza lakini leo yametimia. Akili kubwa imeshinda Magufuli alivunja Katiba ya nchi.

 
Magufuli aliamua kutoongeza mkataba wa Asaad. Sheria ilimruhusu kufanya hayo. Leo mahakama inasema ile sheria inapingana na katiba. Sheria yenyewe iliwekwa kabla Magufuli hajawa rais wa JMT. Sasa hapo Magufuli ana kosa gani?
Sheria imetamka wazi vipindi viwili renewable, unless otherwise iwepo sababu za kutokuendelea.
Kwa hiyo hamba option ya kumwo doa CAG kwa kipindi kimoja
 
Hata sioni ubachojaribu kukitetea hapa.

Case no. inatumika kuonesha mwaka kesi ilipofunguliwa, hiyo imeandikwa no 8 of 2022 sijui ndio unataka kubisha na kuita typing error, basi nipe namba ya kesi yako na mwaka wake tuione.
Issue sio kutumika kwa case number... nimekuambia tumia common sense na kutafakari ikiwa kweli unaamini ni ya 2022.

Kwamba, tukio lilitokea 2019, kesi ifunguliwe August 2022, na miezi 4 baadae hukumu iwe imetoka!!

FYI, hiyo kesi ni ya tangu 2020
 
Hili jamaa huwa jinga sana na sijui wanaomuona huyu mtu sijui msomi aisee km wasomi ndio hawa na kina Lissu kuna wasomi vichekesho sana hiyo nchi

Punguza chuki. Ni mahakama ndio imetoa maamuzi sio Zitto.
 
Nimekumbuka jinsi jiwe alivyo wafyeka wapinzani wa michongo nikabaki nacheka tu yaani hadi leo kabwela mzito hana jimbo kabaki kuwa chawa tu wa mama 😂😂

Naomba Mungu atutunie mwingine wa kufanana na jpm aje aebdekeze alipoishia jpm
 
Kwani hilo na yule aliemuandikia Barua Ndugai ajiuzulu yana tofauti gani? Si yaleyale tu? Ata kwenye vyaka vyetu yapo, sawa tu na kufukuzwa kwa kina Prof Kitila Mkumbo. Kama ni hivi tuna vichaa wengi sana.

Tofautisha serikali na chama Cha upinzani. Akina mkumbo ni kesi tifauti na CAG.
 
Nimekumbuka jinsi jiwe alivyo wafyeka wapinzani wa michongo nikabaki nacheka tu yaani hadi leo kabwela mzito hana jimbo kabaki kuwa chawa tu wa mama 😂😂

Naomba Mungu atutunie mwingine wa kufanana na jpm aje aebdekeze alipoishia jpm

Bora akina Zitto wapo hai, yeye Magufuli alifyekwa moja kwa moja.
 
Tofautisha serikali na chama Cha upinzani. Akina mkumbo ni kesi tifauti na CAG.
Utofauti wake majina tu ila Chama kina Katiba yake na pia Serikali inaongozwa kwa kufuata Katiba.
 

Kesi ni no 8 of 2020. Umesahau ilifunguliwa kipindi Magu yupo hai, Seema watu hawakuifatilia, maana kila mmoja alikuwa chawa.
 
Yule mwendakule kuzimu alijigeuza mwanzo na mwisho wa kila mtanzania...akiamua ufe unakufa, ndio maana tulimsifu tu ili tuendelee kuwa hai.
KAMA HUAMIN MUNGU WA MBINGUNI YUU HAI NA ANAWEZA mkumbuke mungu wa duniani magufuli
 
Muendelezo wa vita kwa marehemu ndio imefanikisha kuwezekana kutoka hayo maamuzi bila ya hivyo sidhani kama ingewekana, maamuzi hayo yasingetoka Magufuli angekuwa bado yupo madarakani ni kama sasa rais aliye madarakani atavunja katiba na hakuna kitakachofanyika na ndio maana nikasema kilichotokea ni unafki tu ila wenye chuki na marehemu kwao kitu chenye kuwafurahisha.
 
Kuna watu washenzi sana. Yani likimburu linakaa kumzungumzia mtu ambae tayali ashafariki. Anashindwa kupambana na hali na wakati tulonao sasa mgumu linakaa kuongea asubui jion mchana kama vile mdomo wake ulilambwa na mbwa.

Punguza hasira, kesi ilifunguliwa kipindi Magufuli yupo hai, na leo ndio hukumu imetolewa. Wakati inafunguliwa hakuna aliyejua Magufuli atafariki.
 
Halima Mdee na wenzake wako bungeni kihalali?

Chadema walichukua hatua gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…