Zitto Kabwe, Mbowe, Lissu hamuioni ripoti ya CAG?

Zitto Kabwe, Mbowe, Lissu hamuioni ripoti ya CAG?

Zito kama kawaida amesema chama chake kitakuja na uchambuzi
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twita Zito Kabwe yuko kimya kabisa ,au ndiyo kusema asali tamu sana?
 
Kwa Mbowe sahau kabisa hilo, Mbowe tayari ni Mwana CCM, sio mpaka uone kadi yake

Anaunga mkono serikali tawala.

Labda Zitto Kabwe, naye ataliongelea lakini hutasikia hatua yoyote ikichukuliwa.
 
Walikuwa wanataga uhuru wa kuongea, sasa hivi wenyewe wanadai uhuru wanao ila hawajui cha kuongea, waongee nini.

Ila sio mbaya nchi ina uhuru wa kuongea huku watu wanajipigia.
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twita Zito Kabwe yuko kimya kabisa ,au ndiyo kusema asali tamu sana?
Wamepaliwa Asali hawawezi kuongea
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twita Zito Kabwe yuko kimya kabisa ,au ndiyo kusema asali tamu sana?

Bado ripoti haijawekwa hadharani. Subiri ifike bungeni usiwe na haraka.
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twita Zito Kabwe yuko kimya kabisa ,au ndiyo kusema asali tamu sana?

Pesa muibe CCM halafu msubiri CHADEMA waongeee. Toeni ujinga hapa.
 
Mbona kama ameshazungumzia
Screenshot_20230329-192824.jpg
 
Pesa muibe CCM halafu msubiri CHADEMA waongeee. Toeni ujinga hapa.
Riipoti ya cag ilopita hata treni mtumba alisingiziwa Magu,

Ngoja tuone saiz mtasemaje. Au ndo mtalinda maridhiano!!!
 
Zitto amekuwa akisikika kuwa awamu ya tano chini ya hayati JPM kulikuwa na ufisadi .

Tuhuma hizi alizikazia na kupigia misitali kupitia ripoti ya CAG.

Leo hii ripoti ya CAG imeanika uuozo na wizi wa pesa za umma huku Rais Samia akibembeleza walioba pesa za umma waache kazi! Kha!
 
Back
Top Bottom