Zitto Kabwe, Mbowe, Lissu hamuioni ripoti ya CAG?

Zitto Kabwe, Mbowe, Lissu hamuioni ripoti ya CAG?

Zitto amekuwa akisikika kuwa awamu ya tano chini ya Jakaya kulikuwa na ufisadi .

Tuhuma hizi alizikazia na kupigia misitali kupitia ripoti ya CAG.

Leo hii ripoti ya CAG imeanika uuozo na wizi wa pesa za umma huku Rais Samia akibembeleza walioba pesa za umma waache kazi! Kha!
Ndo wanasiasa walivyowanafiki
 
Zitto amekuwa akisikika kuwa awamu ya tano chini ya Jakaya kulikuwa na ufisadi .

Tuhuma hizi alizikazia na kupigia misitali kupitia ripoti ya CAG.

Leo hii ripoti ya CAG imeanika uuozo na wizi wa pesa za umma huku Rais Samia akibembeleza walioba pesa za umma waache kazi! Kha!
Zito kwabwela ni fala tu. Nilisema na narudia tena mwisho wake utakua mbaya sana.
 
Hakuna Wapinzani Tanzania
Waliopo ni Chumia Tumbo tu
Tutabaki hivi hivi kutegemea watu wawili au watatu sisi tukibaki kwenye keyboard na TV.
Pambana na maisha yako nchi imeshatekwa na Walambaji completely.
 
Zitto amekuwa akisikika kuwa awamu ya tano chini ya Jakaya kulikuwa na ufisadi .

Tuhuma hizi alizikazia na kupigia misitali kupitia ripoti ya CAG.

Leo hii ripoti ya CAG imeanika uuozo na wizi wa pesa za umma huku Rais Samia akibembeleza walioba pesa za umma waache kazi! Kha!
Kojani Gangs
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.

Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Asali imejaa mdomoni, subiri wameze kwanza

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.

Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Kwani wewe haujaiona?
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.

Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Zitto ni mdini hawezi hangaika na hii report ya muislamu mwenzake
 
Wanaosema hoja ya kujipa muda wakumbuke enzi za Magufuli, ilikuwa ripoti inaendelea kusomwa huku tweets zinaendelea kukosoa.
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.

Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Wewe huioni ?! Mpaka uwategemee wanaume wenzio !!
 
Back
Top Bottom