Ndo wanasiasa walivyowanafikiZitto amekuwa akisikika kuwa awamu ya tano chini ya Jakaya kulikuwa na ufisadi .
Tuhuma hizi alizikazia na kupigia misitali kupitia ripoti ya CAG.
Leo hii ripoti ya CAG imeanika uuozo na wizi wa pesa za umma huku Rais Samia akibembeleza walioba pesa za umma waache kazi! Kha!