JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,282
- Thread starter
- #61
Kweli kabisaWanaosema hoja ya kujipa muda wakumbuke enzi za Magufuli, ilikuwa ripoti inaendelea kusomwa huku tweets zinaendelea kukosoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaWanaosema hoja ya kujipa muda wakumbuke enzi za Magufuli, ilikuwa ripoti inaendelea kusomwa huku tweets zinaendelea kukosoa.
Kwani ndiyo walioiba fedha za umma ?!. Mbona uvccm mmeishiwa hivi ?!. Fedha ziibiwe na walioko mamlakani, wewe ubaki kuwalaumu wapinzani ?!. Hizo ni akili za upindeUwezi kumuona huyo, Mbowe, Lema wala msigwa
Wewe hiyo report ushaipata kuisoma na kuitafakari? Kama ndio, nini kinakuzuia wewe kuchambua?Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Wala usingemjibu huyo bwana...akili hana huyo.Ripoti itawekwa hadharani baada ya kupelekwa bungeni, ndani ya siku 7
Hivyo kuanzia wiki ijayo sote tutaipata kupitia www.naot.go.tz
mama anaupiga mwingi ongea na ccm ndo wanaongoza inchi,hao walishaongea sana mkawaona wapuuzi tu walamba asaliNi masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Wewe ni mbuzi tu. Hiyo report wewe unayo?Enzi ya Magufuli hawakusubiri
Zito akicomment mniite!Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Acha kubwabwaja hovyo kama hayawani zitto ndo huwa anachambua report ya CAG jumapili ya kwanza pending inapotoka. Report imetoka jana wewe una weweseka kama punguaniNi masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Sisi watanzania hatueleweki Mara tunataka Mara hatutakiNi masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Elewa mada na kile nilichokijibu kwanza, usikurupuke mkuu.Kwani ndiyo walioiba fedha za umma ?!. Mbona uvccm mmeishiwa hivi ?!. Fedha ziibiwe na walioko mamlakani, wewe ubaki kuwalaumu wapinzani ?!. Hizo ni akili za upinde
Hivi unawezaje kumuacuse mtu na hata kwenye Twitter yake hujapita???Wanaosema hoja ya kujipa muda wakumbuke enzi za Magufuli, ilikuwa ripoti inaendelea kusomwa huku tweets zinaendelea kukosoa.
Huyu mpuuzi anaandika Kwa kiingereza ili watanzania wengi wasielewe?Hivi unawezaje kumuacuse mtu na hata kwenye Twitter yake hujapita???
Kweli watanzania ni bongo lalaView attachment 2570799
Masaa yanaenda Mbowe, Lema , Lisu wako kimyaMuda utaongea...
Ripoti ilishawekwa wazi tayariRipoti itawekwa hadharani baada ya kupelekwa bungeni, ndani ya siku 7
Hivyo kuanzia wiki ijayo sote tutaipata kupitia www.naot.go.tz
Hahaha duWanamalizia asali