Zitto Kabwe, Mbowe, Lissu hamuioni ripoti ya CAG?

Zitto Kabwe, Mbowe, Lissu hamuioni ripoti ya CAG?

Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.

Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Wewe hiyo report ushaipata kuisoma na kuitafakari? Kama ndio, nini kinakuzuia wewe kuchambua?
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.

Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
mama anaupiga mwingi ongea na ccm ndo wanaongoza inchi,hao walishaongea sana mkawaona wapuuzi tu walamba asali
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.

Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Zito akicomment mniite!
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.

Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Acha kubwabwaja hovyo kama hayawani zitto ndo huwa anachambua report ya CAG jumapili ya kwanza pending inapotoka. Report imetoka jana wewe una weweseka kama punguani
 
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.

Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Sisi watanzania hatueleweki Mara tunataka Mara hatutaki

Unajua mtoa hoja , Hao akina Mbowe, Lissu, zito na wengine lazima waisome waielewe wachambue Sasa hata hoja zao zikitoka sisi Sisi tunaanza kuwapiga mawe wakikaa kimya wameramba asali wakisema ni vibaraka wa mabeberu Sasa tuseme wenyewe
 
Kwani ndiyo walioiba fedha za umma ?!. Mbona uvccm mmeishiwa hivi ?!. Fedha ziibiwe na walioko mamlakani, wewe ubaki kuwalaumu wapinzani ?!. Hizo ni akili za upinde
Elewa mada na kile nilichokijibu kwanza, usikurupuke mkuu.
 
Wanaosema hoja ya kujipa muda wakumbuke enzi za Magufuli, ilikuwa ripoti inaendelea kusomwa huku tweets zinaendelea kukosoa.
Hivi unawezaje kumuacuse mtu na hata kwenye Twitter yake hujapita???

Kweli watanzania ni bongo lala
1425771913.jpg
 
Back
Top Bottom