ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twita Zito Kabwe yuko kimya kabisa ,au ndiyo kusema asali tamu sana?
Watanzania tupo zaidi ya 60 mil. Ukitweet wewe ndugu yangu inatosha na ujumbe utafika. Kumbuka mpaka sasa orodha ya wala chakula cha nyuki haieleweki ujue!....yuko kimya kabisa....
Acha upumbavu wako.Enzi ya Magufuli hawakusubiri
Lakini twit zao hqzionekaniHiyo ripoti haina tija yoyote. Kila mwaka ripoti hutolewa, ajabu ni kuwa hakuna hatua zozote zinazochukuliwa.
Mbona Rais ameichambua hapohapo?Unataka waichambue kwa halaka au unataka waichambue, wape muda imeandikwa kitaalamu huwezi kuichambua kwakukurupuka.
Wamepaliwa Asali hawawezi kuongeaNi masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twita Zito Kabwe yuko kimya kabisa ,au ndiyo kusema asali tamu sana?
Ni wanafiki sanaWamepaliwa Asali hawawezi kuongea
Ndiyo nani huyo?yuko wapi?Enzi ya Magufuli hawakusubiri bunge ili watwiti
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twita Zito Kabwe yuko kimya kabisa ,au ndiyo kusema asali tamu sana?
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twita Zito Kabwe yuko kimya kabisa ,au ndiyo kusema asali tamu sana?
Hiyo ripoti haina tija yoyote. Kila mwaka ripoti hutolewa, ajabu ni kuwa hakuna hatua zozote zinazochukuliwa.
Riipoti ya cag ilopita hata treni mtumba alisingiziwa Magu,Pesa muibe CCM halafu msubiri CHADEMA waongeee. Toeni ujinga hapa.
Anaongea huku amepaliwa asaliMbona kama ameshazungumziaView attachment 2570189
Ni wajinga sana wamepaliwa asaliRiipoti ya cag ilopita hata treni mtumba alisingiziwa Magu,
Ngoja tuone saiz mtasemaje. Au ndo mtalinda maridhiano!!!
Kulikuwa na ukaguzi enzi za JPM?! Wacha uwongo wako.Enzi ya Magufuli hawakusubiri