Ndo wanasiasa walivyowanafikiZitto amekuwa akisikika kuwa awamu ya tano chini ya Jakaya kulikuwa na ufisadi .
Tuhuma hizi alizikazia na kupigia misitali kupitia ripoti ya CAG.
Leo hii ripoti ya CAG imeanika uuozo na wizi wa pesa za umma huku Rais Samia akibembeleza walioba pesa za umma waache kazi! Kha!
Zito kwabwela ni fala tu. Nilisema na narudia tena mwisho wake utakua mbaya sana.Zitto amekuwa akisikika kuwa awamu ya tano chini ya Jakaya kulikuwa na ufisadi .
Tuhuma hizi alizikazia na kupigia misitali kupitia ripoti ya CAG.
Leo hii ripoti ya CAG imeanika uuozo na wizi wa pesa za umma huku Rais Samia akibembeleza walioba pesa za umma waache kazi! Kha!
Hoja ilikuwa kuongelea hayo mengine ya kwakoAnaongea huku amepaliwa asali
Tutabaki hivi hivi kutegemea watu wawili au watatu sisi tukibaki kwenye keyboard na TV.Hakuna Wapinzani Tanzania
Waliopo ni Chumia Tumbo tu
PumbavuTutabaki hivi hivi kutegemea watu wawili au watatu sisi tukibaki kwenye keyboard na TV.
Pambana na maisha yako nchi imeshatekwa na Walambaji completely.
Asante.Pumbavu
Kojani GangsZitto amekuwa akisikika kuwa awamu ya tano chini ya Jakaya kulikuwa na ufisadi .
Tuhuma hizi alizikazia na kupigia misitali kupitia ripoti ya CAG.
Leo hii ripoti ya CAG imeanika uuozo na wizi wa pesa za umma huku Rais Samia akibembeleza walioba pesa za umma waache kazi! Kha!
Kabwela hawezi onekana apa maana hii ni awamu yaoKojani Gangs
Vipi kuhusu Bunge lenu la kijani tupu ?Hakuna Wapinzani Tanzania
Waliopo ni Chumia Tumbo tu
Asali imejaa mdomoni, subiri wameze kwanzaNi masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Kipindi cha nyuma tulisikia panya wakiitisha press siku ya pili tuMkuu mbona una haraka sana.
Kwani wewe haujaiona?Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Stendi ya Magufuli inaleta foleni ya magari. DahUnataka waichambue kwa halaka au unataka waichambue, wape muda imeandikwa kitaalamu huwezi kuichambua kwakukurupuka.
Hahahaha uzuri ni kwamba uongo hauna maisha marefuStendi ya Magufuli inaleta foleni ya magari. Dah
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Awamu hii wamejaa asali mdomoniKipindi cha nyuma tulisikia panya wakiitisha press siku ya pili tu
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Zitto ni mdini hawezi hangaika na hii report ya muislamu mwenzakeNi masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Wewe huioni ?! Mpaka uwategemee wanaume wenzio !!Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?