Zitto Kabwe: Membe alitupigania dhidi ya tabia Mbaya ya Watu wenye Mamkala kutumia Wahuni kutukana Viongozi wenzao

Zana Za kilimo Mbeya aliwahi kufanywaje na Joseph Pombe Magufuli? Manaake haishi kulalama kila anapopewa mic anabishana na kumshambulia aliyelala ambaye hata hawezi mjibu. Ila alipokua hai alipiga kimya. Coward
 
Huyo Zitto kutoa maneno hayo vepee?? Si aungane nae wakafukiwe wote huko Rondo km ana mkubali sana huyo marehemu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa namwangalia akitoa shombo zake huku uso umevimbiana kwa kubugia asali mpaka umekuwa wa mviringo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unafiki ni moja ya tabia kuu kwa Spies..!!!..anaweza kuwa rafiki ili akakugeuka dkk yoyote ile

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Zitto Kabwe amemtaka Cyprian Musiba aombe msamaha, siyo tu atoe rambirambi, kwa sababu alimsakama Membe mpaka Membe akaugua. Ameleta usumbufu kwa Membe na pia kwa familia yake: kwa Cecilia, Richard na Dennis.
Zitto ana chuki nzito dhidi ya Musiba hadi ananunua ugomvi!

Musiba aombe radhi kwa lipi? Kwa sababu ya syndicate zilizopigwa kichinichini dhidi ya Musiba.? Nani alikuambia dhuluma hushinda au haki ya mtu hupotea daima.?

.Zitto amuombe radhi Maalim Seif kwanza kabla hajanyooshea vidole wengine.
 
Yeye Zitto amewahi kuwaomba msamaha wale aliotaka wakazikwe karibu na Magufuli?

Zitto anadai Musiba alimsakama Membe mpaka Membe akaugua?!, si tuliambiwa Membe alienda hospitali kwa "check up" ya kawaida tu, lakini kilichotokea baadae ndio mpaka madaktari wakashangaa!.

Huyu Zitto nilishamuona toka jana, amegeuza huu msiba wa Membe kama uwanja wa kutafuta "kick", japo kwa wengine anaonekana sio mnafiki, kwangu ni mnafiki tu.
 
Zito ni lazima amchukie huyo mropokaji Musiba.

Kumbuka Musiba aliandika kwenye vile vigazeti takataka vyake kuwa Zito na maalim waligombania shoga! Maandishi kama yale nadhani yalikiwa yanadhihirisha kabisa kuwa Musiba alikuwa na uwendawazimu wa aina fulani.

Kama sasa hivi Musiba ana akili timamu, awaombe radhi, siyo familia ya marehemu tu, bali wote aliokuwa anawachafua. Awaambie tu kuwa alikuwa amepagawa na sasa akili yake imerudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…