Zito ni lazima amchukie huyo mropokaji Musiba.
Kumbuka Musiba aliandika kwenye vile vigazeti takataka vyake kuwa Zito na maalim waligombania shoga! Maandishi kama yale nadhani yalikiwa yanadhihirisha kabisa kuwa Musiba alikuwa na uwendawazimu wa aina fulani.
Kama sasa hivi Musiba ana akili timamu, awaombe radhi, siyo familia ya marehemu tu, bali wote aliokuwa anawachafua. Awaambie tu kuwa alikuwa amepagawa na sasa akili yake imerudi.