voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,935
Yeye Zitto alishiriki kumfilisi Membe kupitia ACT- wanavisasi.
Membe hadi akaenda kukopa nje baada ya kumaliza salio lililokuwa sehemu ya Pesa za Ghaddafi.
Halafu alipogundua Membe ameishiwa na hapo hapo akaacha kumsapoti na kumgeuka kupitia kauli ya Marehemu Mzee Seif Sharif Hamad.
Zitto asituzuge na machozi yake ya kichawi aliyonayo pembeni ya macho siku zoote.
Tunamjua na huenda ufundi ukahamia kwake maana amewadhulumu Marehemu wengi sana akiwemo Deo Filikunjombe R.I.P.
Membe hadi akaenda kukopa nje baada ya kumaliza salio lililokuwa sehemu ya Pesa za Ghaddafi.
Halafu alipogundua Membe ameishiwa na hapo hapo akaacha kumsapoti na kumgeuka kupitia kauli ya Marehemu Mzee Seif Sharif Hamad.
Zitto asituzuge na machozi yake ya kichawi aliyonayo pembeni ya macho siku zoote.
Tunamjua na huenda ufundi ukahamia kwake maana amewadhulumu Marehemu wengi sana akiwemo Deo Filikunjombe R.I.P.