Tanzania ikinyimwa huo mkopo nyinyi na chama chenu mnafaidika nini? Hao watoto ambao hela hizi zilikuwa zikawasaidie watafaidika nini na hio 3-0 ya Zitto?!
ID ya chama kabisa inakuja kuleta ushabiki maandazi JF.
Mkuu ni ubinafsi tu unawasumbua.
Hizo shule anazoita za CCM wanasoma watoto wa wanachama wa chama chochote.
Hapo
Zitto ametanguliza maslahi yake binafsi, amewaza uchaguzi zaidi kuliko watanzania maskini.
Siasa za namna hii ni hatari sana kwa taifa, watanzania sio wajinga kiasi hicho.
Nimemkubali sana Mh. Mbowe alipojaribu kutafuta maridhiano, muafaka na serikali siku ya Uhuru, aliweka pembeni maslahi binafsi.
Zitto atakuja kulipia tu huu usaliti na ubinafsi wake hata kama Magufuli atakapokuwa hayupo madarakani.
Hizi video na nyaraka za harakati zake zitakuwepo daima hapa duniani na zitakuja kumhukumu yeye mwenyewe.
Ogopa hii teknolojia, ni kama alivyo mpondea Lissu kuomba Tanzania isitishiwe misaada na Jumuiya za kimataifa na yeye anafanya kile alichomkosoa Lissu na kukiita 'UMAZWAZWA'.
Leo zile comments zimerejea kwa kasi mitandaoni kwa kumdhihaki.