Zitto Kabwe: Mwambieni Waziri Mkuu "Watu wake hawawezi kumpenda kama wana hofu ya kupigwa na kutekwa"

Bashiru anavuna alichopanda. Alipanda au kuruhusu chuki iote miziz ndani ya ccm sasa leo yuko nje analalamikia watawala.

Kimeumana
Chuki iliota kwa waliohozi mali za chama kwa maslahi yao binafsi na familia zao, waliozoea kutoa rushwa ili wapate vyeo. Sasa hili ni kundi la wachache kuliko wengi walioimaliza ccm 2015. Ukiijua historia ya uchaguzi ya 2015 utaelewa.
 

Vyama tofauti kwa maana ipi? ACT na CCM au?
 
Mimi ni mkazi wa huku kusini kiujumla huwa kiukweli majaliwa kaipaisha mno ruangwa
 

Jamaa wa ovyo kabisa nahisi ata sio raia wa Tanzania
 
Chuki iliota kwa waliohozi mali za chama kwa maslahi yao binafsi na familia zao, waliozoea kutoa rushwa ili wapate vyeo. Sasa hili ni kundi la wachache kuliko wengi walioimaliza ccm 2015. Ukiijua historia ya uchaguzi ya 2015 utaelewa.
Mugambo wanaruka na kukanyagana....ccm ya sasa ni bora kuliko ile ya akina Bashiru na Polepole.
 
Usisahau na ule ujenzi wa Barbara unaoendelea kwa kiwango cha lami
 
kumchukia huyu baba ni kujitoa ufahamu! sijawah ona baya kwake kabisaaaaa, hizi chuki dhidi yake ni kujichumia dhambi… kuna video nimeona jana wananchi wanazingumza na kushukuru ujenzi wa vituo vya afya na mashule, sasa hizo nyingine za kutopendwa sijaziona. Statement hii ya Zitto naona ni kama siasa tuu.
 
Hapo kwenye bold! Niseme wazi, wewe ni mshamba, sidhani kama darasa kuwa na tiles na aluminum ni big deal. Tunataka quality education!
 
Na umepatia haswaa Ametumwa na ile gang akapime upepo unaelekea wapi !! Ile gang kwa fitna haijambo. !!
 
Huo ndo ulikuwa mkakati wa Majaliwa wa kupita bila kupingwa..
Kuhakikisha wagombea wengine hawapo hadi muda wa kurejesha fomu za kugombea upite!
 
Hapo kwenye bold! Niseme wazi, wewe ni mshamba, sidhani kama darasa kuwa na tiles na aluminum ni big deal. Tunataka quality education!
Kwetu tanzania ni big deal maana tulizoea kuona hii ni kwa shule za private. Lakini quality education na quality understanding inaanza na quality environment na kila siku tunasisitiza hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…