sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Hata ile iliyomfia JK mkononi 2015 na watu wakawa hawavai nguo za ccm mtaani ilikuwa kama hii tu.Mugambo wanaruka na kukanyagana....ccm ya sasa ni bora kuliko ile ya akina Bashiru na Polepole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ile iliyomfia JK mkononi 2015 na watu wakawa hawavai nguo za ccm mtaani ilikuwa kama hii tu.Mugambo wanaruka na kukanyagana....ccm ya sasa ni bora kuliko ile ya akina Bashiru na Polepole.
Kwenye siasa kijana anaishia 55yrs, kwenyw mpira 35yrs ni mzee. Ujana/uzee unategemea na career yako.Zitto ni kijana ? Uwiii[emoji43][emoji43][emoji43][emoji43]
mwogope Sana mtu karia hiyoMbona jamaa anaonekana mtu makini!mpole na mnyenyekevu!?
Haya zito anayatoa wapi!?
Kitaifa yaliisha chini kabisa yapo BadoHaya mambo ya watu wasiojulikana si yaliisha kitambo? Kumbe huko kwingine bado yapo?
Sura siyo roho mjukuu wangu.Mbona jamaa anaonekana mtu makini!mpole na mnyenyekevu!?
Haya zito anayatoa wapi!?
Mbona jamaa anaonekana mtu makini!mpole na mnyenyekevu!?
Haya zito anayatoa wapi!?
Vp tuongeze sauti?Vitisho na Utekaji?🤔
Huyo ni Kassimu anatapatapa.Vp tuongeze sauti?
Kvp yani?Huyo ni Kassimu anatapatapa.
Majaliwa hana sifa kabisa ya kuwa kiongozi katika jamii iliyostaarabika, ni corrupt, mwongo, mchafu na kiongozi mwenye hila na uonevu.Majariwa alipora uchaguzi wa ruangwa wazi wazi..hawa ndio viongozi wa nchi ambao ni wezi..walaghai na wauaji.
Kazi ipo.
#MaendeleoHayanaChama
Majaliwa anawateka wanawakomoa anaowahisi kuwa wanampenga yeye binafsi, siyo Serikali.Kwahiyo watu wasiojulikana sahizi ni kosa la waziri mkuu sio rais tena kama mlivyokua mnaaminisha umma 2021 kurudi nyuma? Mna nini na Majaliwa? Anakwamisha mambo yenu yepi? Mnadhani mnammudu?
[emoji1787][emoji1787] Hapo kwenye ndege [emoji113][emoji113]Kipindi kile cha mwendazake walikuwa hawamtaji PM ni Magu moja kwa moja nini kimetokea mbona mama hatajwi mzigo anaangushiwa PM!!
Hii laana ya unafiki tulio nayo sijui kama kuna siku itakuja kuisha.
Kuna mda nakaa nawaza hivi ile ndege iliyopata ajali bukoba ingekuwa ni hizi alizonunua Magu ukosoaji ungekuwaje!!
Mchafu kwasababu unasema wewe? Una ushahidi wa aina yoyote wa hizo porojo zako? Wa kimandishi, picha, video au hata wa kimatukio tu? Una list ya watu wangapi 'waliompinga yeye binafsi' akawateka? Shea na sisi tuoneMajaliwa anawateka wanawakomoa anaowahisi kuwa wanampenga yeye binafsi, siyo Serikali.
Kumbuka huyu Majaliwa ndiye aliyemteka mgombea wa CHADEMA wakati wa kipindi cha uchaguzi 2020, kisha alimbambikia kesi mgombea wa CHADEMA, yeye akatangazwa amepita bila kupingwa. Jamaa ni mchafu sana.
Wewe unaishi wapi?Kama yapi?
Kuna kipindi nyerere aliwahi kuwaita wanasiasa wa aina hii kuwa ni Malaya. Huyu ndumilakuwili ni wa kupuuzwa.
“Najua kuna Maafisa wa Usalama wa Taifa hapa kwenye Mkutano wetu Ruangwa, nawatuma wakamwambie Waziri Mkuu kuwa Zitto anasema maliza hofu Ruangwa.
“Watu wako hawawezi kukupenda kama wana hofu ya kupigwa na kutekwa kwa sababu tu wako vyama tofauti na wewe,” - Zitto Kabwe akiwa Jimbo la Ruangwa Mkoani Lindi.
Ameongeza kusema: "Nitamweleza Waziri MKuu Kassim Majaliwa kuwa kiongozi ukitaka kupendwa na kukubalika na watu wako, wasaidie kuwainua hali zao na sio kuwaburuza kwa mabavu na vitisho. Kufanya hivyo, kutakuchora kuwa kiongozi katili, watakuogopa na kukuchukia."