residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Kila binadamu ana haki ya kuwa na ndoto yake/zake na kufanya juhudi kuitimiza/kuzitimiza.Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
Pasina shaka…..Ukiambiwa
Pasina shaka……uthibitishe pasina shaka ...utatoa uthibitisho?au ni maneno tu ya vijiweni?..
Hadi huyu , mchumia tumbo, mtu asiye na msimamo, mdini, mpuuzi naye anataka kuwa Rais? Labda Rais wa Ujiji.
Kama ana wake watatu nampongeza kwa hilo, mwanaume mwenye hela kuwa na mke mmoja ni zaidi ya ujinga, kwa hili Zitto ni mfano wa kuigwa.Kwa hiyo Tanzania itaingia kwenye rekodi ya kuwa na Raisi mwenye first Lady watatu?
Bahati mbaya huna uwezo!
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
Zitto hana sifa ya udini, ni siasa chafu tu, kwanza sidhani kama hata anaswali na pesa anayo anazunguka nchi kibao lakini hajawi kwenda Mecca kama nguzo 5 za uislamu zinavyotaka.propaganda ya kumuita Zitto Mdini itamsaidia sana mbele ya safari
kama lengo lenu kumpoteza mtafutieni sifa nyingine
hawezi kuwa Rais ila kwa sifa ya udini itamfikisha sehemu fulani
rejea ya Mrema 1995, Lipumba 2000 na Dr Slaa 2010
ataokota okota Ruzuku za kusogeza mbele maisha kama walivyofanya kina Mrema, Lipumba na Slaa
propaganda ya kumuita Zitto Mdini itamsaidia sana mbele ya safari
kama lengo lenu kumpoteza mtafutieni sifa nyingine
hawezi kuwa Rais ila kwa sifa ya udini itamfikisha sehemu fulani
rejea ya Mrema 1995, Lipumba 2000 na Dr Slaa 2010
ataokota okota Ruzuku za kusogeza mbele maisha kama walivyofanya kina Mrema, Lipumba na Slaa
Acha kudhalili jina la SAVIMBI, bora umuite KINYESI.Yaan kwa kauli yake amedhihirisha kuwa hajitambui kabisa.Hajui Kabisa kuwa yeye ,hana sifa Kabisa ya kuwa Rais .Pia hajui Kabisa kuwa hakubaliki Kabisa katika jamii ya watanzania.Anaonekana ni kituko .Huyu ni Savimbi.
Kiwango chake cha unafiki, uzandiki, hila, fitina usaliti
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
Kama binadamu ni mkarimu, mcheshi na mwerevu. Ni mtu mzuri. Kama mwanasiasa Zitto ni mnafiki, mzandiki, mfitini, mbinafsi na msaliti. Ni mwanasiasa hatari kwa afya ya jamii
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
Hapa nadhani wewe ndiyo hauna hoja na ulipaswa kupita kimyakimya, hao watajwa hapo wote Zitto hawezi kupambana kama wakipambanishwa kuugombea urais wa Jamuhuri.Jamiiforams siku hizi inashushwa hadhi na watu kama nyinyi ...hivi kama huna hoja ukipita kimya kimya Kuna shida?
Mbona kwa sasa tuko kwenye record ya kuwa na rais ambaye ni mke mdogo, kuna wawili juu yake.Kwa hiyo Tanzania itaingia kwenye rekodi ya kuwa na Raisi mwenye first Lady watatu?