Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Zitto hapo lengo lake ni kuwaletea chokochoko ccm. Sema wengi hamjamuelewa
 
Ndio rangi yake halisi hiyo mkuu.
 
Tz kuna mbumbumbu wengi zitto katumia lugha ya Picha (Fasihi)

Usisumbuke mkuu, wanachadema wana chuki kali lakini yenye wivu mkali kwa Zitto, Yaani wanamuonea wivu sana huku wakimpenda. Unajua Zitto ana kitu fulani ndani yake ambacho wengi hawana kwa hiyo anachukiwa kwa vipawa vyake adhimu.

Na kuna chadema waliojiapiza kumfanyia character assasination huyu kijana ili kumuondolea kuaminika mbele ya wananchi ili iwe ni njia ya kuihami Chadema isipoteze imani ya umma baada ya mgogoro ule ndani ya Chadema mwaka 2013. Walikosea sana!. Leo wale waliokuwa wakiwaona majembe ndo wameahamia CCM mchana kweupeee
 
Tz kuna mbumbumbu wengi zitto katumia lugha ya Picha (Fasihi)
Ukishaanza tu kujiona kuwa una akili nyingi kuliko wengine wote ujue tayari unaanza kuwa na tatizo fulani anza kuchukua hatua mapema.
 
Dam55,

Si uwachukue kwenye chama chako wajiunge na Membe halafu tuonane kwa debe,akina Chenge wanatakiwa wakalee vitukuu vyao ni wakati wa wao kupumzika,Chenge angesoma alama za nyakati kama yule Mama wa pesa ya mboga.
 
Sure ila zitto swala la unafiq na fitina awamsingizii nikweli. Japo yuko makini in other side.
 
Watumishi wa umma mateso ya miaka 5 ya hakuna increments, kupanda vyeo (walimu),ongezeko la mshahara,kutolipwa malimbikizo yenu n.k iwe ni fundisho na akili zenu kuikataa ccm kwa nguvu zote.Familia zenu ziikatae ccm.

Msiwapigie kura ya urais,wabunge wala madiwani.Ndiyo wadhalilishaji wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…