Wapi kahusisha udini! Hivi huwajui wadini eti! Tembelelea chadema kuna mtu mdini mule, basi tu. Hata zitto kuondoka kwake chadema nilifurahi sana
Mnafiki na mdini Zitto anasema ana ndoto za kugombea urais lakini atagombea 2030 na siyo 2025 wakati sifa za kugombea 2025 anazo maana kishapita miaka 40. Wenye akili tunajua kwa nini hagombei 2025.
Zitto huwa anaipinga CCM tu pale mgombea urais wa CCM anapokuwa wa ile imani nyingine.
Mimi ninabet Zitto anaweza hata kuteuliwa katika nafasi serikalini.
Japo mimi siiungi mkono CHADEMA, lakini natambua kuwa kimsingi nchii hii vyama vya siasa ni viwili tu CCM na CHADEMA.
Njoo inbox mkuu kuna kitu nataka unisaidie plz
Nipe mfano wa chama kingine cha upinzani ambapo mwenyekiti au kiongozi wake ameheshimu ukomo wa uongozi kikatiba hapa Tanzania!..Maneno mengi ila zero. Katiba ndio imemtaka aachie uongozi, hajaachia kwa mapenzi yake . Tuache sifa za kijinga.
Hizo wilaya ulizozitaja zina vinasaba vya udiniHivi kung'atuka Kwake mbona imekuw hoja ya kila siku au ndiyo mafanikio ya chama?
Hata ukitoka uongozini chama chenyewe kinafanya kazi Tunduru-Kigoma mjini-Magomeni na Pemba tu. Kina life circle ya Mende.
1. Ungeishia sentensi ya kwanza ningekuunga kuunga mkono.
2. Chadema udini haupo.
3. Kuondoka Zitto Chadema kusingekufurahisha.
4. Tujuavyo sisi adui yetu ni mmoja na umoja wetu ndiyo ngao yetu:
Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM
5. Wewe kikamilifu ninakusoma hapa:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
ZItto sijaanza kumjua leo.1. Ajabu na kweli unaoonekana kutaka Zitto kufanya siasa kama ambavyo ungependa.
2. Ajabu nyingine ungependa unachosema wewe kiwe zaidi ya anachosema yeye na bila ya ushahidi wowote.
3. Alichosema Zitto ni majibu ya alichoulizwa.
4. Zaidi sana amekuwa wazi:
"Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi."
Kutopambana na hoja zake na kuja tuhuma zisizokuwa na msingi ni kujionyesha zaidi ufukara wa hoja hadharani.
Nipe mfano wa chama kingine cha upinzani ambapo mwenyekiti au kiongozi wake ameheshimu ukomo wa uongozi kikatiba hapa Tanzania!..
Ukishindwa jitambue kuwa wew ni zwazwa
Zitto nakutakia ramadhan njema, kila la kheri huko ulipo, Allah akufanyie wepesi mambo yako, maadui hawakosekani, kikubwa kumtegemea Mwenyezi Mungu.
Tumuombee ndugu yetu Allah amnyooshee mambo yake, life is too shortBusy kutega kunguru kwa maharage makavu
Anatamani sn Mbowe anaondoke lakini jamaa anaendelea kupiga kaziHivi kung'atuka Kwake mbona imekuw hoja ya kila siku au ndiyo mafanikio ya chama?
Hata ukitoka uongozini chama chenyewe kinafanya kazi Tunduru-Kigoma mjini-Magomeni na Pemba tu. Kina life circle ya Mende.
Xi
ZItto sijaanza kumjua leo.
kama umekwenda shule vizuri nadhani utakuwa unafahamu kitu kinachoitwa tathmini. Matendo, kauli, mienendo na misimamo ya mtu over time inakuwa basis ya evaluation. Niliyoyasena kuhusu Zitto ni matokeo ya tathmini yangu ambayo sio lazima wewe ukubaliane nayo. Only time will tell.
Zitto kutokana na kuutaka sana urais wakati akiwa hajafikisha miaka 40 ambayo ndio umri kikatiba mtu anaruhusiwa kugombea urais hapa TZ. aliwahi kuomba umri wa kugombea urais upunguzwe ili tu aweze kuqualify ; leo hii amefikisha 40 lakini hana kiu ya kugombea urais hadi 2030. Kwa tabia ya CCM mwaka 2030 most likely mgombea wake atakuwa mkristo ndio maana Zitto atagombea mwaka huo. Zitto ni kama Lipumba.
Rejea ukosoaji wa zitto wakati wa Magufuli na Mkapa halafu revisit wakati wa KIikwete na sasa.
Pitia michango yangu yote humu jf, mimi huwa naanalyse hoja objectively tofauti na wewe ambaye uko subjectively.
Nimeweka wazi kuwa siipendi CHADEMA lakini nikakiri ukweli kuwa vyama ni viwili tu CCM na CHADEMA.
Tusubiri next moves za Zitto.
Tumuombee ndugu yetu Allah amnyooshee mambo yake, life is too short
Ramadhan kareem!
Unakataa ndani ya chadema hakuna udini! Au wewe ni chadema!
Hizo wilaya ulizozitaja zina vinasaba vya udini
Hauwezi kumtenga zitto na udini,Kujikita kwenye udini hakumlipi yeyote si Zitto wala yeyote.
"Mada nzima Haina popote Zitto alipotamka neno dini, kutaja dini wala kiashiria."
Hoja ya udini ni mfu ya mahsusi kwa mafukara wa hoja.
Matendo yake yanaongea kuliko maneno.
Hata ungekuwa wewe usingesema kuwa unawatumikia CCM ila matendo yako yatatuambia uhusika wako japo kwa asilimia flani.