Kichaa peke yake ndio anaweza mchagua mtu mdini kama zitto, na kuhusu urais hilo asahau
Huwezi kumtenga zitto na udini popote paleNinakazia:
Kujikita kwenye udini hakumlipi yeyote si Zitto wala yeyote ukiwamo wewe.
"Mada nzima haina popote Zitto alipotamka neno dini, kutaja dini wala kiashiria."
Hoja ya udini ni mfu na mahsusi kwa mafukara wa hoja.
Jamaa ni lichawi... hapo linaroga ili CDM ife na halijafanikiwa!! Sura baya roho mbaya jitu la hovyo sana hilo.Hivi kung'atuka Kwake mbona imekuw hoja ya kila siku au ndiyo mafanikio ya chama?
Hata ukitoka uongozini chama chenyewe kinafanya kazi Tunduru-Kigoma mjini-Magomeni na Pemba tu. Kina life circle ya Mende.
Chama kilimshinda ,je anaweza kua RAIS wa nchi?Akiongea na redio hiyo ya kimataifa jana mchana, mwanasiasa huyo amefunguka:
View attachment 2933149
Kwamba:
1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.
3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.
4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.
5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.
6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.
7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.
8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.
9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.
10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.
11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.
12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.
13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.
Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.
Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:
Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM
Nimesoma bandiko lako vzur lakini nimefikia hitimisho kwamba wakati wa harakati za Zitto ama ulikuwa shule ama ulikuwa underbed na hivyo hukupata kujua kilichoendelea..Xi
ZItto sijaanza kumjua leo.
kama umekwenda shule vizuri nadhani utakuwa unafahamu kitu kinachoitwa tathmini. Matendo, kauli, mienendo na misimamo ya mtu over time inakuwa basis ya evaluation. Niliyoyasena kuhusu Zitto ni matokeo ya tathmini yangu ambayo sio lazima wewe ukubaliane nayo. Only time will tell.
Zitto kutokana na kuutaka sana urais wakati akiwa hajafikisha miaka 40 ambayo ndio umri kikatiba mtu anaruhusiwa kugombea urais hapa TZ. aliwahi kuomba umri wa kugombea urais upunguzwe ili tu aweze kuqualify ; leo hii amefikisha 40 lakini hana kiu ya kugombea urais hadi 2030. Kwa tabia ya CCM mwaka 2030 most likely mgombea wake atakuwa mkristo ndio maana Zitto atagombea mwaka huo. Zitto ni kama Lipumba.
Rejea ukosoaji wa zitto wakati wa Magufuli na Mkapa halafu revisit wakati wa KIikwete na sasa.
Pitia michango yangu yote humu jf, mimi huwa naanalyse hoja objectively tofauti na wewe ambaye uko subjectively.
Nimeweka wazi kuwa siipendi CHADEMA lakini nikakiri ukweli kuwa vyama ni viwili tu CCM na CHADEMA.
Tusubiri next moves za Zitto.
Hiki chama huwa tunakiita CCM- mazambarao. Ngoja nikuonyeshe walivyo wanafiki. Mwaka 2020 waliingia kwenye kile walichokiita serikali ya umoja wa kitaifa. Hii ni baada ya kudhulumiwa uchaguzi, baadhi ya viongozi wake na pia wananchi kupigwa na polisi na kuumizwa, na wengine kuuawa. Walipoingia kwenye serikali ya umoja wa kitaifa, kuna makubaliano walifanya na CCM-kijani ili kuhakikisha makovu ya uchaguzi yameponywa. Baada ya viongozi wake kupewa magari yenye ving'ora na kina Zitto kuingizwa kwenye kamati zisizo na maana, walisahau kabisa kabisa yale makubaliano waliopanga na CCM-kijani ili waingie kwenye serikali. Muda wote wa 2020 mpaka 2024, wako kimya, mwaka huu wameona uchaguzi unakaribia, wanajifanya kusema watajitoa kwenye serikali ya umoja. Yaani kipindi chote kilichopita walikuwa kimya, wameona uchaguzi unakaribia, wakaanza kuhofu watawaambia nini wananchi, hasa wale walioumizwa, ndiyo wamekumbuka shuka.Kwanza ni uwongo kuwa ameng'atuka. Yeye amemaliza muda wake wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya ACT.
Watu wengi wana akili ndogo. Wanakuza jambo dogo lionekane la ajabu!
Nyerere alinga'atuka. Mwinyi, Mkapa na Kikwete walimaliza muda wao kwa mujibu wa katiba, na wala halikuwahi kuwa jambo la ajabu kiasi cha kuongelea kila siku.
Huwezi kusema kuwa Mwinyi, Mkapa au Kikwete waling'atuka. Labda kama hujui Kiswahili wala maana ya neno kung'atuka.
Umewahi kumsikia Kikwete akisema kuwa aling'atuka? Halafu ikawa hadithi ya kila siku? Kama katiba ya ACT ina muda maalum wa kiongozi kuwa kwenye nafasi fulani, kuna nini cha ajabu?
Kwahiyo huko ACT wazalendo hakuna mgombea urais zaidi ya Zitto na ni kazima chama kimpitishe.Akiongea na redio hiyo ya kimataifa jana mchana, mwanasiasa huyo amefunguka:
View attachment 2933149
Kwamba:
1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.
3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.
4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.
5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.
6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.
7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.
8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.
9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.
10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.
11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.
12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.
13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.
Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.
Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:
Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM
Mimi ni nani kumtenga mtu na lolote? Au wewe ni nani kumuunganisha mtu na lolote kama yeye hajatamka mwenyewe kwa maneno au maandishi yake?Huwezi kumtenga zitto na udini popote pale
Kwahiyo huko ACT wazalendo hakuna mgombea urais zaidi ya Zitto na ni kazima chama kimpitishe.
Huyu bado kiongozi na ana maamuzi huko ACT.
CCM ndiye adui yetu mkuu na sio zitto wala nani
Kuhusu 'u-CCM B' wake amejibu kuwa hilo ni suala binafsi, hapo nimeelewa vema.
Zwazwa mwenyewe chawa wa CCM. Ukiona kiongozi bado yupo kwenye cheo Ina maana katiba bado inampa muda. Wewe kweli jinga la CCM . Huyo Zito kaondoka maana katiba inatambua miaka kumi. Sasa hapo unamsifu ya Nini? Yani Kikwete kamaliza miaka kumi ya uongozi, halafu mnaanza kumsifu wakati katiba imemlazimisha. Acheni unafikiNipe mfano wa chama kingine cha upinzani ambapo mwenyekiti au kiongozi wake ameheshimu ukomo wa uongozi kikatiba hapa Tanzania!..
Ukishindwa jitambue kuwa wew ni zwazwa
Shida yako una hasira na CHADEMA kuliko CCM . Mnaboa Sana nyie wanafiki wa ACT1. Kasema sana Prof. Lwaitama. Tatizo zaidi ninadhani ni makamanda uchwara wasioweza kutambua umoja wetu ulikuwa muhimu zaidi kama kipaumbele:
a) Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM
b) CHADEMA wa Mtandaoni watamwelewa lini Dr. Lwaitama?
c) Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
2. Ajabu na kweli makamanda kama hao wako radhi kushirikiana na CCM ikibidi lakini si dhidi ya mpinzani mwenzao.
3. Ya zama zile Mbeya ni kama haya haya.
4. Kwamba tunasaka ustaa, au kumfurusha CCM?
Al Watani, Bams, JokaKuu, Economist
Mrejeshi wa Nini? Nimeshamjibu. Ukiona kiongozi wa chama Cha siasa yupo madarakani Ina maana Katiba inamruhusu kuendelea. Huyo Zitto Katiba ya ACT ilimwekea limit ya miaka kumi. Sasa unafiki wenu mnadhani ni hiari yake. Acheni hizo.Akikujibu, mrejesho wako tafadhali.
Hiki chama huwa tunakiita CCM- mazambarao. Ngoja nikuonyeshe walivyo wanafiki. Mwaka 2020 waliingia kwenye kile walichokiita serikali ya umoja wa kitaifa. Hii ni baada ya kudhulumiwa uchaguzi, baadhi ya viongozi wake na pia wananchi kupigwa na polisi na kuumizwa, na wengine kuuawa. Walipoingia kwenye serikali ya umoja wa kitaifa, kuna makubaliano walifanya na CCM-kijani ili kuhakikisha makovu ya uchaguzi yameponywa. Baada ya viongozi wake kupewa magari yenye ving'ora na kina Zitto kuingizwa kwenye kamati zisizo na maana, walisahau kabisa kabisa yale makubaliano waliopanga na CCM-kijani ili waingie kwenye serikali. Muda wote wa 2020 mpaka 2024, wako kimya, mwaka huu wameona uchaguzi unakaribia, wanajifanya kusema watajitoa kwenye serikali ya umoja. Yaani kipindi chote kilichopita walikuwa kimya, wameona uchaguzi unakaribia, wakaanza kuhofu watawaambia nini wananchi, hasa wale walioumizwa, ndiyo wamekumbuka shuka.