Ndiyo msingi wa chama chakeHizo wilaya ulizozitaja zina vinasaba vya udini
Haaminiki kama LipumbaAkiongea na redio hiyo ya kimataifa jana mchana, mwanasiasa huyo amefunguka:
View attachment 2933149
Kwamba:
1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.
3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.
4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.
5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.
6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.
7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.
8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.
9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.
10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.
11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.
12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.
13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.
Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.
Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:
Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM
..hapo kwenye " siasa tofauti " ndipo panapofarakanisha vyama vya siasa.
..Ccm inatumia " siasa tofauti " za vyama vya upinzani kuchelewesha mabadiliko tunayoyataka.
Haaminiki kama Lipumba
Ndiyo msingi wa chama chake
Kuna watu hampendi tu ZittoAkihojiwa na redio za kimataifa anyamaze?
Hivi kung'atuka kwake kwanini kumekuwa mwiba mno kwa wengine?
Kwani hamkupenda ang'atuke?
Zitto siyo centre ya siasa za Tanzania na hatakuja kuwa hivyo kiufupi he is a mere busybody.
Hata serikali haiwezi kujisumubua na ACT ambayo msingi wake unatiliwa mashaka na kila mtu hata Zitto mwenyewe.
Kuachia ngazi kwake au kubaki hakubadilishi chochote kwenye siasa za nchi.
Zitto siyo mwanzilishi wa ACT labda kama mnataka kusema alikianzisha akiwa bado yuko CDM kama alifanya hivyo ni mtu asiye na maadili na msimamo.
You care for sure.He is trying so hard to make his 'retirement' from party position a big deal, but it's NOT! we don't care.
Yaani Nyerere kukaa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 ndo asifiwe eti aling'atuka!Kwanza hawa watu ni wajinga wa Kiswahili. Kiongozi anayemaliza muda wake wa uongozi kikatiba, hang'atuki bali amemaliza kipindi chake cha uongozi. Hawa watu wamejaa unafiki.
Nyerere kuachia uongozi ilikuwa issue ya kuongelewa sana kwa sababu aling'atuka. Mwinyi kuachia uongozi ilikuwa kawaida, kwa sababu alimaliza kipindi chake cha uongozi kikatiba.
Udini wa Zitto uko wapi?Ni tapeli wa kisiasa sana huyo mdini.
Wa kuaminika ni sisi tunaokumbuka udanganyifu na uchanganyaji karata waoWewe je unaaminika ndugu? Au hata tunawajuaje wa kuaminika na wasioaminika?
Kuna watu hampendi tu Zitto
Wa kuaminika ni sisi tunaokumbuka udanganyifu na uchanganyaji karata wao
Sisi tusio Zito wala LipumbaUkIsema sisi unamaanisha nini na kwa mujibu wa nani au kipimo gani?
Sisi tusio Zito wala Lipumba
Mtu yupo hatua kumi mbele na ahead of time na chama kimemshinda kukisimamisha anataka kwenda kutetea tumbo lake na ubunge?
Ndio mtu gani huyo?
Acha kutudanganya wewe
Ameshafanyiwa lobbying ya Ubunge jimboni kwake !Akiongea na redio hiyo ya kimataifa jana mchana, mwanasiasa huyo amefunguka:
View attachment 2933149
Kwamba:
1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.
3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.
4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.
5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.
6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.
7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.
8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.
9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.
10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.
11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.
12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.
13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.
Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.
Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:
Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM
Yani ukisikia kinyonga mbadilika rangi ndio huyu. Katika watu wanafiki Tanzania huyu naye top 10 hakosekani. Lina tamaa mbaya sana. Useless kabisa
Tuhuma bila uthibitisho ni sawa na kupaka rangi hewaAmeshafanyiwa lobbying ya Ubunge jimboni kwake !
Kura zitatosha tu iwe jua iwe mvua !
Zisipotosha zitatosheshwa ! πππ π !
Ambacho kimefanya nikupe Kongole, pamoja na kuweka Video lakini bado ukatuandikia kwa ufupi yale Zitto aliongea. ..Ninakusoma kwa msisitizo huu bila shaka mada imekugusa negatively. Ajabu na kweli. Ninadhani ni muhimu kutafakari ni kwa nini hasa?