Zitto Kabwe: Sitagombea tena Uongozi ndani ya ACT WAZALENDO, najikita kwenye Ubunge. Malengo yangu ni kuwa Rais wa Tanzania

Haaminiki kama Lipumba
 
..hapo kwenye " siasa tofauti " ndipo panapofarakanisha vyama vya siasa.

..Ccm inatumia " siasa tofauti " za vyama vya upinzani kuchelewesha mabadiliko tunayoyataka.

1. Hatuwezi kuwa sawa kama watoto mapacha ndiyo maana hata kwenye maridhiano tulikuwa na maoni tofauti:

2. Hapo namba #1 Mandela alitembea na Buthelezi. Wala hatujishangai sisi tunakwama wapi?

3. Kwenye hili wakulaumiwa ni sisi wenyewe, CCM tutamsingizia bure.

4. Hapo #3, kwani Mbeya ya zama zile ilikuwaje?

5. Kitulacho kinguoni mwetu tuko kama tunadhani kuna ustaa kwenye ukombozi:

Your browser is not able to display this video.


6. Hapo #5 huku kutojua umoja ni nguvu kunayapa ma CCM jeuri ya kuendelea kutung'ong'a hadharani ikiwamo matamshi yao ya kutawala milele.

7. Tuko kama tumerogwa, siyo bure!
 
Ndiyo msingi wa chama chake

1. Misingi ya chama chochote cha siasa Iko kwenye katiba yao ambayo huwasilishwa kwa msajili Kwa uhakiki kabla ya usajili.

2. Wenye chama chao hawajasema popote kuwa chama chao ni cha kidini.

3. Mandela alitembea na kina Buthelezi wakachukua nchi.

4. Ajabu na kweli haijulikani tunataka kuichukua nchi na mawazo kama haya.

Your browser is not able to display this video.


5. Prof Lwaitama huwa tunamwelewa kweli?
 

1. Kuzungumza center wa siasa, labda unazungmzia u Messi, Ronaldo nk. Yaani ustaa.

2. Au unamaana kumbe center wa siasa za Tanzania siyo mwananchi?

3. Tuweke egoism pembeni hii nchi tulipaswa kuichukua tokea 1995 huko.

4. Ubinafsi umetufikisha wapi?

5. Tungeacha hii ya kuwa mahakimu, mashahidi na ma prosecutor wenyewe.
 
Yaani Nyerere kukaa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 ndo asifiwe eti aling'atuka!
Tena baada ya nchi kumshinda!!
 
Sisi tusio Zito wala Lipumba

1. Si unaujua ule msemo pendwa kuwa nyani haoni kundule?

2. Kwa mujibu wa nani au kipimio gani, haKuna.

3. Ila tu kwa kuwa wewe ndiwe jaji, prosecutor na shahidi na kuwa hukumu yako ndiyo tuikubali tu?

4. Kuwa wala hujishangai?
 
Mtu yupo hatua kumi mbele na ahead of time na chama kimemshinda kukisimamisha anataka kwenda kutetea tumbo lake na ubunge?

Ndio mtu gani huyo?

Acha kutudanganya wewe

Kwa hiyo angekomaa kitini ndiyo ingekuwa sawa?
 
Ameshafanyiwa lobbying ya Ubunge jimboni kwake !
Kura zitatosha tu iwe jua iwe mvua !
Zisipotosha zitatosheshwa ! πŸ™πŸ™πŸ˜…πŸ˜… !
 
Yani ukisikia kinyonga mbadilika rangi ndio huyu. Katika watu wanafiki Tanzania huyu naye top 10 hakosekani. Lina tamaa mbaya sana. Useless kabisa

Nguli Prof. Lwaitama hakubaluani nawe:

Your browser is not able to display this video.
 
Ameshafanyiwa lobbying ya Ubunge jimboni kwake !
Kura zitatosha tu iwe jua iwe mvua !
Zisipotosha zitatosheshwa ! πŸ™πŸ™πŸ˜…πŸ˜… !
Tuhuma bila uthibitisho ni sawa na kupaka rangi hewa
 
Ninakusoma kwa msisitizo huu bila shaka mada imekugusa negatively. Ajabu na kweli. Ninadhani ni muhimu kutafakari ni kwa nini hasa?
Ambacho kimefanya nikupe Kongole, pamoja na kuweka Video lakini bado ukatuandikia kwa ufupi yale Zitto aliongea. ..

Hongera tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…