Eti ni kweli Membe hana sifa ya kuteuliwa na NEC?Huu pia ni uchozezi!.
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
P
Naona wanataka kumpotezea Membe!!!! As long as Tundu Lissu yupo hakuna shida Membe inabidi aungane na hili jembe kuongeza nguvu kama kweli alidhamilia kumg'oa Jiwe!!
Ikiwa vyama vimesimamisha wagombea na ipo imani kuwa wagombea wa upinzani ni bure, hawakubaliki nini hasa maana ya haya yote kama sio kutafuta matatizo?Huu pia ni uchozezi!.
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
P
Hizi ndio lugha zinatakiwa kwa sasa. Sio ofisi tuu, DED au yeyote kwenye tume akijulikana kashiriki uchafu basi awe anajua kuwa familia yake au yeye binafsi kaweka reheni maisha.Ni hivi akikatwa hata mbunge au diwani mmoja tunaingia barabarani mpaka arudishwe huu ujinga hakuna watu tumechoka na upumbavu na tutaanzia kuchoma ofisi za nec then ni kumfurusha Dicteta Ikulu
Zitto katoa tahadhari wala sio tishio. Sijui kwa nini wewe umeona ni tishio?Huu pia ni uchozezi!.
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
P
Yaani mwanzo wa huu uzi umetoa hoja utafikiri unaelewa kinachoendelea. Halafu hapa unamuuliza Pascal kama mgombea uliyemtaja ana sifa ama la?Eti ni kweli Membe hana sifa ya kuteuliwa na NEC?
Ni hivi akikatwa hata mbunge au diwani mmoja tunaingia barabarani mpaka arudishwe huu ujinga hakuna watu tumechoka na upumbavu na tutaanzia kuchoma ofisi za nec then ni kumfurusha Dicteta Ikulu
Wananchi wana haki ya kuitisha Serikali. Serikali wala watendaji wake hawana uwezo wa kuutisha umma.Huu pia ni uchozezi!
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
P
Wajibu hoja gani? Hizo alizotoa huyo bwabwa, kuwa kama ni ndege zilikuwepo etc...Lissu Game Changer si unaona CCM hakuna hoja hata moja waliyoijibu sio Polepole wala Bashiru na hakuna wa kujibu.
Na Kama mtakosa sifa mnaenda kuenguliwa na hakuna mtu yoyote atakayeweza kuingia barabarani.Wakifanya huo upumbavu wa kuengue wagombea - hakika lazima tukatae. Likifanyike hilo, huyo Kaijage ajutie milele. Mambo ya kijinga kwa sasa kila mmoja aseme basi. Tunataka Taifa la watu wastaarabu. Na wanaoongoza taasisi za umma wanatakiwa kuwa wastaarabu zaidi.
Hatutaki primitivity. Ushamba na mambo ya hovyo yabakie kwenye familia zao. Wasiyalete kwenye Taifa. Kwenye Taifa, tuongozwe na Dhamira njema, sheria, kanuni na miongozo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa baaaasiiiiDawa ya moto ni moto
Labda hoja kubwa aliyoitoa ni kutembea na shanga kiunoni Orr sory risas zaidi ya hapo ni utopolo mtupu.Wan by hoja gani? Hizo alizotoa huyo bwabwa, kuwa kama NI ndege zilikuwepo etc...
Mwisho ni umeuliza swali zuri sana?Itakua wote wameamua kumuunga mkono Lisu.
Tuna bahati kumpata mgombea mashuhuri dunia nzima. Sio vijijini sio mijini.
Lisu aje tu na Sera bora za Elimu, afya, uchumi,kilimo , Elimu, ajira na miundo mbinu lakini pia namna bora ya kutumia vyombo vyetu vya dola kwenye kusimamia amani ya nchi na kuimarisha uzalishaji kwa kutumia majeshi yetu wakati wa amani.
Vipi Lisu atatoa amri kama amiri jeshi mkuu bila kuathiri vyombo hivyo kujipendekeza kwa wanasiasa lakini pia kwa wakubwa zao ambao nao wanateuzi za ndani kwa ndani?
Katiba iliyopo ikitumiwa kisawasawa inatengeneza udikteta; Vipi Lisu ataitumia katiba ilitopo kufanya mabadiliko bila kuwa dikteta kwa kiasi Fulani?
Je, Lisu akiingia madarakani octoba ,halafu CCM wakajaa barabarani kupinga matokeo yake kwa maandamano makubwa atawaruhusu kufanya hivyo kwa sababu ya Uhuru wa kuandamana?
Bila shaka wapinzani wajipange kwa hoja kampeni zikianza mana wananchi wamesharidhika na hali iliyopo na wanaona ni sawa na hakuna hali bora kuliko hii na wanaamini hata wale wanaogawa mapesa barabarani nao pia wana maisha magumu kama wao na ni haki yao kuwagawia wale wanaowataka bila kufanya kazi lakini wengine wanaambiwa hakuna kula bila kazi.
Je, watanzania shida yao kubwa ni Uhuru tu wa mikutano ya kisiasa na kuandamana??