Hao nao wataangukia pua kama alivuoanguka Lipumba mpka leo anahutubia mawe.😅😅😅Haya sasa wana ACT wenzako huko wanasema Zitto kabwe na Maalim seifu wamekosa sifa za kuwa wanachama wa ACT wamevunja katiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao nao wataangukia pua kama alivuoanguka Lipumba mpka leo anahutubia mawe.😅😅😅Haya sasa wana ACT wenzako huko wanasema Zitto kabwe na Maalim seifu wamekosa sifa za kuwa wanachama wa ACT wamevunja katiba.
Mnadhani mtapata nafuu Zitto asipokuwa ACT au Maalim kwa kuunga mkono TL?ZITTO kajivua uanachama wa ACT WAZALENDO kakiuka katiba kifungu hiki hapa
View attachment 1607436
Jasusi boya kumbe. Hawa jamaa walifikaje kuitwa majasusi?Mwaka huu jasusi kapatikanaView attachment 1605332
Shukrani sana mkuu, pamoja mzeeMSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.
Hivyo basi, baada ya maelezo hayo, natangaza rasmi kwa Wanachama, Wafuasi, wapenzi wa ACT Wazalendo na Watanzania kwa Ujumla, kuwa:
1. Pale kwenye Kata ama Jimbo ambalo ACT Wazalendo tuna Mgombea, tunaomba Muwapigie Kura wagombea wa ACT Wazalendo.
2. Pale ambapo kwenye Kata au Jimbo la Uchaguzi hakuna Mgombea wa ACT Wazalendo, lakini kuna wagombea wengine wa Vyama vya Upinzani, ACT Wazalendo tunawaomba MPIGIE KURA MGOMBEA WA CHAMA CHA UPINZANI mwenye nguvu zaidi ili kutokutawanya Kura.
3. Kwa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mimi Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe NITAPIGA KURA YANGU kwa ndugu Tundu Antipas Mughwai LISSU. Huyu ndiye Mgombea wa Upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda Mgombea wa Chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa Wananchi kwake ni mkubwa sana, ameeleza kwa ufasaha dhamira yake ya kuleta mabadiliko na sina mashaka na dhamira hiyo, pamoja na anayotaka kuyafanya kama Rais, ni mambo hayo ndiyo yaliyonipa msukumo wa kumpigia Kura Lissu.
Zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu. Ninaomba kila mpenda Haki na Mabadiliko nchini ampigie kura ya URAIS ndugu Tundu Lissu ili awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Natanguliza Shukran kwenu
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Bangwe, Kigoma Mjini
Oktoba 16, 2020
Kama Lipumba ameibomoa Cuf hadi iko vile ilivyo basi tambua na ACT inaelekea hukohuko sijui sasa Maalim seifu atahamia wapi tena?Hao nao wataangukia pua kama alivuoanguka Lipumba mpka leo anahutubia mawe.😅😅😅
Cuf ipi imebomoka?? LIPUMBA ANAVYOHANGAIKA NA STRESS ZAKE.Kama Lipumba ameibomoa Cuf hadi iko vile ilivyo basi tambua na ACT inaelekea hukohuko sijui sasa Maalim seifu atahamia wapi tena?
Sasa unafikiri kwanini Seifu kahama huko Cuf? hakuna kitu tena ndio maana wewe unamcheka Lipumba anahutubia mawe.Cuf ipi imebomoka?? LIPUMBA ANAVYOHANGAIKA NA STRESS ZAKE.
Sasa kati ya Seif na Lipumba nani kapata madhara zaidi?Sasa unafikiri kwanini Seifu kahama huko Cuf? hakuna kitu tena ndio maana wewe unamcheka Lipumba anahutubia mawe.
Pole yakoKabisa mkuu.... Ila nyie watoto wa dada akili zenu zinafikiria kuua watu tu
Kamanda sikupati vizuri! Vipi vile vidumu vya petrol umevinywa?Safari hii CCM hawana pa kuchomokea
Zito na gazeti lake hewa la dail maverick ..... .... ameangukia pua. Chezea JPM weye!MSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.
Hivyo basi, baada ya maelezo hayo, natangaza rasmi kwa Wanachama, Wafuasi, wapenzi wa ACT Wazalendo na Watanzania kwa Ujumla, kuwa:
1. Pale kwenye Kata ama Jimbo ambalo ACT Wazalendo tuna Mgombea, tunaomba Muwapigie Kura wagombea wa ACT Wazalendo.
2. Pale ambapo kwenye Kata au Jimbo la Uchaguzi hakuna Mgombea wa ACT Wazalendo, lakini kuna wagombea wengine wa Vyama vya Upinzani, ACT Wazalendo tunawaomba MPIGIE KURA MGOMBEA WA CHAMA CHA UPINZANI mwenye nguvu zaidi ili kutokutawanya Kura.
3. Kwa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mimi Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe NITAPIGA KURA YANGU kwa ndugu Tundu Antipas Mughwai LISSU. Huyu ndiye Mgombea wa Upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda Mgombea wa Chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa Wananchi kwake ni mkubwa sana, ameeleza kwa ufasaha dhamira yake ya kuleta mabadiliko na sina mashaka na dhamira hiyo, pamoja na anayotaka kuyafanya kama Rais, ni mambo hayo ndiyo yaliyonipa msukumo wa kumpigia Kura Lissu.
Zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu. Ninaomba kila mpenda Haki na Mabadiliko nchini ampigie kura ya URAIS ndugu Tundu Lissu ili awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Natanguliza Shukran kwenu
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Bangwe, Kigoma Mjini
Oktoba 16, 2020
CCM wakisherekea WIZI waoKamanda sikupati vizuri! Vipi vile vidumu vya petrol umevinywa?
[emoji23][emoji23][emoji23]