Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Watu wakubwa wanafanya mambo makubwa, watu wadogo wanajifunza kuvaa kanzu majukwaani[emoji2][emoji2][emoji2]! JPM 5 tena!View attachment 1575546View attachment 1575547
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kuna watu wanoamini ushirikina wanakuwa na matumaini kuwa jambo fulani litatokea tu kama mganga/mchawi wao ailvyowaaminisha hata kama dalili zote zinapingana na walichoaminishwa na mchawi wao. Ukishangaa ya musa utaona ya nani????Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya .
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri ,na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza
Hii inaitwa tunatekeleza kwa kishindo.Afadhali huyu ana maanisha anachosema si wale wa Kigoma kuwa Dubai ya Afrika. Tumpate wapi Rais kama JPM?! Watanzania tarehe 28/10/2020 tumpe JPM na wagombea wa CCM kura za kishindo za ndiyoo. Ili Lissu na mabwana zake akina Robertson wajue Watanzania si wa mchezo mchezo wala si wa kuchezewa.
Hiki ndio ninachokijua. Wala huwezi kumsikia Lissu anamsema Membe mahali popote
Perfect. Mwaka huu tumejipanga. Tar 26 itatangazwa rasmi kura zote kwa LissuKwani Zitto alivyowahi kusema kuwa kutakuwa na mgombea mmoja wa uraisi kupitia kambi ya upinzani mlikuwa hamuelewi?
It seems ACT wako na Lissu mwanzo mwisho.
Membe aliingia kama plan B incase Lissu angefanyiwa magumashi na NEC
Kwani mikoa itakuwepo! Au chadema hizi ni ndoto?Nyie inamaana hamjui kuwa membe anamuandalia lissu baraza la mawaziri?? Hamjui kusoma bc hata picha?? Membe waziri wa mambo ya nje, Lissu Rais, waziri mkuu Mbowe ..Zkk waziri wa fedha , Magufuri waziri wa barabara ..Lema waziri wa mambo ya ndani ..sugu waziri wa michezo ..Tamisemi Bulaya ..Mdee waziri wa katiba na sheria..Juma duni waziri wa Elimu .. Spika Kibatala ..kwa wakuu wa mikoa tunambakisha Antony Mtaka wa simiyu baaasi
Katibu Dr Bashiru hakukosea. Alishawaona!!!Hahahahaahaaaaaaa duuuh
Anaandaa baraza la mawaziri!!!?
Zito mzima kweli? Naona anahitaji kupimwa akili
Yaani mtu aache kufanya kampeni aanze kuandaaa......
Dunia haiishiwi maajabu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nilijua ni Steve Muigizaje yule wa Iringa anaanda scene ya filamu mpya! Kumbe nilikosea.Duh![emoji116]View attachment 1575523
Sasa wakitathmini pia kuwa kuna uwizi wa kura msije na mapovu kuwa ni mabeberu!!EU tathimini yao ya siku 15 za kampeni Tanzania CCM itashinda si chini ya 81%. Lissu anaenda kuwa mgombea wa upinzani aliye vunja rekodi ya kupata asilimia kidigo tangu nchi hii ingie kwenye mfumo wa vyama vingi. Na hii itaonesha uropokaji na upayukaji bila maarifa si njia sahihi ya kuomba kura.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uongo wa wazi kabisaWakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya .
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri ,na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza
Kwani Mbowe naye anaonekana?
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya .
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri ,na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza