Uchaguzi 2020 Zitto: Mgombea atakuwa mmoja kati ya CHADEMA na ACT Wazalendo

Hili taifa lina 50+ years toka lipate uhuru watu aina ya lissu na wenzake walikuwepo toka enzi hizo na walishindwa kufanikiwa na agenda zao za hovyo hovyo na mwaka huu 2020 wataisoma namba kisawasawa
Ushauri wetu kwenu mataga mjiandae mapema kisaikolojia kuwa chama cha upinzani na ndugu zenu kina TLP na CUF ya lipumba
 
Zanzibar huko ccm ashanawishwa mapema hata kabla ya kumwaga zege lenyewe
 
ACT hawana impact yoyote Tanzania bara, waachwe wapige mechi yao kivyao.
 
Mgambo katika ubora wako [emoji16][emoji16][emoji16]
Lakini kumbuka kazi yako ni kukamata mkaa, hii kazi nyingine utachoka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jipeni matumaini chama cha mjini wakati wapiga kura wako vijijini, sana sana mtaishia kufanya vurugu mnakutana na mkono wa dola ulio madhubuti.
Huko vijijini watu wame chukia mbaya, bei ya mazao hakuna mbaazi ilikuwaTshs 250,000/= sasa hivi ni Tshs 50,000/= korosho hoi, kahawa hoi!!
Nani ataendekeza huo ujinga, MaCCM hawana pa kushika!!
Ahadi ya Tshs 50,000,000/=
kila kijiji ni hewa, ujinga utaisha safari hii!!
 
Unaonekana wewe ni mtu wa Ikulu uko kwenye keyboard yaliyoko field huyajui!!
Nenda Makuyuni au kwenye vituo ya mizani uone watu wanavyo nyanyaswa ba kodi za ajabu!!
Hujui kinacho endelea!!
 
Kila kitu kinawezekana iwe baada au kabla, MMOJA kati yao anaweza kuachia ngazi muda wowote akasema anajitoa katika kinyang'anyiro cha urais na kuunganisha nguvu kumpigia kampeni MMOJA.
Kwa utaratibu hilo linawezekana lakini KIUHALISIA kwa vile kila mmoja kati yao wanavyoutaka huo urais ni vigumu sana kwani kuna maslahi binafsi ya wagombea na maslahi ya wapiga ngoma wao kutoka nje hasa hasa wale wanao wafadhili. Hiyo ndio hali ilivyo utake usitake.
 
Hiyo ndio kampeni hata ukimsikiliza huyo wa USA naye huwa anawananga sana wapinzani wake watarajiwa kwenye uchaguzi uliopita na huu ujao. Na hizo ni dalili wazi wazi za KUKOSA HOJA MADHUBUTI. Hivyo njia rahisi ni kukimbilia aidha kwenye VIOJA NA VIHOJA au kupersonalise campaigh na kusema ya binafsi ya mpinzani wako. Huu kwa kifupi ni UANAHARAKATI siyo UANASIASA!
 
Kuota ni haki yako
Narudia, sio chadema wala act au hata waungane wote. Hakuna upinzani wa kuitoa ccm madarakani?. Mara 1000 ingelikua kipindi kile cha mzee lowassa ningeamini kidogo lakini alishindwa.
Ninyi mkipata mbunge hata mmoja mutakua mumejitahidi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…