Kama kweli mmedhamiria kwa hili basi huyo atakaemuachia mwenzie asirudishe form. Itakua ni utoto wote warudishe form halafu mseme mmoja atamuachia mwenzie. Hii ni tahadhari tu.Mgombea atakuwa mmoja ACT NA CHADEMA
Lowassa alichafuliwa fisadi,mgonjwa. Ukizingatia alikuwa hawezi kuongea na kujitetea na kumwaga Sumu. Lowassa angekuwa kwenye hali nzuri ya kuongea,angeshinda.
Wewe ni hopeless huwezi ukawa askari utakuwa mwanasaccos tu acha kujifika uaskari.Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.
Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!
Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!
Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?
Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,
#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Ushindi ni zaidi ya kumwaga sumu.Lowassa alichafuliwa fisadi,mgonjwa. Ukizingatia alikuwa hawezi kuongea na kujitetea na kumwaga Sumu. Lowassa angekuwa kwenye hali nzuri ya kuongea,angeshinda.
Alishindwa bwana. Fisadi mara mgonjwa hizo kashfa zilifanya ashindwe.Nani kakwambia Lowasa alishindwa?
Hakuudai tu ushindi wake!
Ina maana asingekuwa bubu,angeshinda.Ushindi ni zaidi ya kumwaga sumu.
1995- Mrema =27.7%
2000 - Lipumba = 16.6%
2005 - Lipumba =11.26%
2010 - Dr Slaa = 27.05%
2015 - Lowasa = 39.97%
Na Lowasa ndiye alikuwa bubu kuliko wote hapo.
Mgombea atakuwa mmoja ACT NA CHADEMA
Mngekua mnajuwa mnachokitaka mngetoa Ajira kwa vijana.Bora uambie ukweli, na ukweli Ndio huu, Kama 2015 ilishindikana watasubiri sana, upinzani wa kweli wenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko bado sana, hawajui Wanataka nn, wao kazi yao ni kupinga tu liwe zuri kwao ni baya liwe baya kwao ni zuri, kumbukumbu zangu za nyuma zinanionesha upinzani haujui unasimamia nn hasa, mlengo wao ni upi?
Sasa ilikuwaje akapata kuliko hao waongeaji wasiokuwa hata na kashfa?Ina maana asingekuwa bubu,angeshinda.
Wewe unaamini?!Mgombea atakuwa mmoja ACT NA CHADEMA
Kuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Mkuu! Subiri oktoba ujionee vituko,Habari hii ni mbaya sana kwa wale wachawi na wapiga ramli chonganishi hasa kutoka kile chama pendwa.
Watakuwa wamefura vilivyo kwa hasira na mapovu mdomoni mithili ya waliomeza OmO.
Wanaendelea kuishiwa na ya kusema.
Hakuna kinachoonyesha matumaini kwa upande wao. Kwa sala na suala majibu yanaendelea kuwa negative.
Eeh mola wetu na ukawaonyeshe ukuu wako na kuwa kamwe hakuna Mungu kama wewe.
Lissu kuwa Rais hilo Jambo halipo na halitakuwepo.Washa chelewa maana kwa sasa hata wakipanga mipango hovu juu ya mh Lissu hizo habari zinatoka kabla hawajamaliza kikao chao.
ππππππ kwa siasa zipi, zile za Tundu Lissu. Hauna akili KabisaaSawa!
Naamini kabisa CHADEMA na ACt wakiungana CCM lazima ichomoke...!!
Kwa taarifa yako ni hivi utake usitake utapiga kura siku moja kabla ya uchaguzi.Ubarikiwe sana afande.
Acha kabisa Vicky,Lissu akianza kuongea hutatamani kuacha kumsikiliza.Lowassa alikuwa hajui kumwaga sumu kwa kutumia mdomo wake. Lissu anamwaga sumu acha kabisa.Hapo CCM wanatamani wamuue tu.
Lowassa alikuwa hajui kumwaga sumu kwa kutumia mdomo wake. Lissu anamwaga sumu acha kabisa.Hapo CCM wanatamani wamuue tu.
Vipi boss jana Dodoma imetikiswa siyo????Baada ya kutangazwa mshindi kwa mh Lissu na kuapishwa naona utakuwa wa kwanza kupanda kwenye Nyahunge express kurudi uliko zoea