Zitto: Msaidizi wa Maalim Seif alinipigia simu mara 4 kutaka kunijulisha msiba sikupokea ndipo akanipigia Rais Mwinyi nikapokea kwa mujibu wa sheria

Kiongozi ambaye hasikilizi wasaidiziπŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
Kutopokea sim ya msaidizi wa maalim seif ni dharau. Sijui kama za wasaidizi wengine na wananchi zinapokelewa
Mama D hebu tulieni kidogo jamani khaaa

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Ndio anaweza, mbona maguu wakati wa korona alijifungia chato? Au yeye sio rais?
 
Kiongozi lazima uwe shupavu kwenye hali zote
Hujui hata kiswahili,kuna ushupavu ktk kifo,ulisikia wapi hiyo.Habari mbaya inahitaji Ujasiri siyo ushupavu.

Mtu kuwa Rais ni maamuzi ya wananchi, kwasababu urais ni zaidi ya Ujasiri war kupokea taarifa za msiba. Ila km Ni kipimo kwa mujibu wa mtoa mada basi mtu yeyote anaweza kuwa rais ilimradi ni jasiri tu.
 
Imagine, huyo ndio baba mwenye nyumba. Kiongozi na kichwa cha familia
Unachoshupalia wala hakikusaidii we wala hakimshushi Zitto,Ni porojo tu muda uende. Si unajua tena Jf sehemu ya kutolea stress uchovu wa kifikra. Unajitahidi.
 
Alijuaje kuwa anapewa taarifa ya msiba?

Labda kuna dharura imejitokeza na msaada wake wa haraka ulihitajika?!!
 
Kabla ya kuwa kiongozi wa nchi ukumbuke ni binadamu, ameuvaa mwili na anahisia zote za furaha, uchungu, uoga n.k. Si kila wakati mtu huwa tayari kupokea taarifa mbaya, kuna wakati hutamani kusikia kitu kibaya kabisaaa.
 

Sasa ni kwa nini Magufuli ni amiri jeshi na ilhali kila anapokwenda na kuonekana anakuwa amezunukwa na mpambe wake na askari tele kumlinda ili asiuawe, kama haogopi kufa si angelipunuza wanaomlinda?
 
Huyu jamaa tangu nilipojua kuwa ni ndimi mbili huwa simuamini kabisaaa.
 
Asee watunajua kukuza mambo duh! Hata hili ni la kujadili kiasi hiki?
 
Mbona simu ya Rais Mwinyi aliipokea wakati maudhui ni yale yale?

Ila nimekuelewa sana bwashee!
Ndio mana tunasema unadhalilisha taaluma yako., Zitto amezingatia protocal zaid katika hili mbona ameeleweka sana. tumemfahamu haraka. Kama angetangaza kifo cha maalim kwa kupigiwa simu ni msaidizi wakati ki-protacal atangaze rais wa Zanzibar anahisi asingekuwa amefuata utaratibu.,
 
My take; Kiongozi anayeogopa taarifa ya msiba anaweza kuwa amiri jeshi mkuu kweli? Maana 2025 Zitto anatajwa kugombea urais.

Mbona kuna jamaa huwa haendi kabisa kwenye misiba, yeye kazi yake kutuma rambi rambi
Kweye msiba wa mkapa ulitumwa wewe mkuu?
 
Hili ulioandika hapa liliwahi kunitokea kwa baba yangu. Hakuna siku ilikuwa ngumu kama hiyo katika naisha yangu. Simu zilipigwa nyingi, sikupokea mpaka nilipofika nyumbani kuhakikisha nwenyewe!
 
Hili ulioandika hapa liliwahi kunitokea kwa baba yangu. Hakuna siku ilikuwa ngumu kama hiyo katika naisha yangu. Simu zilipigwa nyingi, sikupokea mpaka nilipofika nyumbani kuhakikisha nwenyewe!
Mkuu wanaomlaumu zito hawajawah patwa na matatizo aina hii mihemko ya kichama au kisiasa ndyo inawalazimu kujibu hivyo ukweli n huo uliousema wewe
 
Kuna tofauti kubwa Kati ya zitto na tundu,,, zitto Ni mwanasiasa na sio mwanaharakati,,,anafaa Sana kuwa kiongozi,, Kama sio figisu angeshinda majimbo mengi Sana uchaguzi uliopita,, alijipanga Sana Kama chama
 
Nani kasema Zitto Kabwe ndio alitakiwa kutangaza kifo?

Hiyo itifaki kila mtu anaijua ndio maana Zitto Kabwe amesema aliipokea hiyo simu kwa mujibu wa sheria maana yake ni kwamba vinginevyo asingepokea angeendelea kuogopa!
 
maamiri jeshi wakuu wote huogopa habari za msiba, kutegemeana na mahusiano na marehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…