johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Umeambiwa asubuhi alikwenda hospitali kumuona mgonjwa!Kwanini akatae kupokea simu?
Alijuaje kuwa kuna habari mbaya?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa asubuhi alikwenda hospitali kumuona mgonjwa!Kwanini akatae kupokea simu?
Alijuaje kuwa kuna habari mbaya?!!
Shangaa na wakati anasema alimuacha na hali nzuri! Zitto ni msanii snKwanini akatae kupokea simu?
Alijuaje kuwa kuna habari mbaya?!!
Dharau kubwaYaan ana jigamba kabisa kuwa alimdharau msaidizi wa Maalim Seif na kukataa kupokea sim yake?
Siyo simu ya Mwinyi bali simu ya Rais Mwinyi!Zitto naye ana mambo ya hovyo sn, kwa hiyo simu ya Mwinyi ndiyo muhimu sn kwake? hovyo kabisa
Hoja hujibiwa kwa hoja!Hii thread ni nzuri ila hiyo hoja yako ya mstari mwisho imevuruga taaluma yako, huna kitu kichwani
Ninywe mimi au anywe Zitto?Kunywa chibuku utulie.
Kiongozi lazima uwe shupavu kwenye hali zote
Alijuaje ni taarifa ya msiba akaacha kupokea?Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 KC wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema siku maalim Seif alipofariki yeye alikwenda hospitali asubuhi na kuelezwa maendeleo ya mgonjwa.
Anasema ilipofika saa 5 na ushee akiwa katika shughuli za chama alipigiwa simu na msaidizi wa maalim Seif aliyekuwa anashinda pale hospitali na hakuipokea.
Akapiga tena mara tatu zaidi lakini Zitto hakupokea kwa sababu alijawa na uwoga na hakuwa tayari kupokea habari mbaya kwa wakati huo, anaeleza Zitto.
Baadae kidogo nikapigiwa na mh Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi ndipo kwa mujibu wa sheria ikanibidi nipokee na akanijulisha habari za msiba na tukakubaliana alitangazie taifa kisha nasi kama chama tukatangaza baada ya tangazo la serikali, amemalizia Zitto Kabwe.
Chanzo: Clouds TV
My take: Kiongozi anayeogopa taarifa ya msiba anaweza kuwa amiri jeshi mkuu kweli? Maana 2025 Zitto anatajwa kugombea urais.
Maendeleo hayana vyama!
Ukipigiwa na Simu na Rais hivi ni lazima upokee eeh ?Zito anataka ukubwa wa raha sio shida😂😂😂😂
Km yapi,CCM bwana.Pamoja na hili Zitto ana uwezo mkubwa sana kwenye masuala ya kitaifa kuliko Tundu.
Kumbe mnajuwa siasa zilizopo siyo za kawaida washenzi nyie.Katika siasa za kawaida Zitto, Tundu Lisu, Mnyika na Kigwangalla ni sawa na bunge zima.
Unawapelekea Chenge tu awe Spika wao!
Wapi na wapi kuweza kuwa kiongozi na kushtushwa ama kuogopa msiba?Hoja hujibiwa kwa hoja!
😂😂😂😂 kuna jina lakeZito anataka ukubwa wa raha sio shida😂😂😂😂
Huu mjani ulioanza kuuvuta ukubwani kamwe hautakuacha salama, yaani sasa hivi huna tofauti na jingalao kabisa unamwaga mashudu tupu hapa jukwaaniAkizungumza katika kipindi cha Clouds 360 KC wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema siku maalim Seif alipofariki yeye alikwenda hospitali asubuhi na kuelezwa maendeleo ya mgonjwa.
Anasema ilipofika saa 5 na ushee akiwa katika shughuli za chama alipigiwa simu na msaidizi wa maalim Seif aliyekuwa anashinda pale hospitali na hakuipokea.
Akapiga tena mara tatu zaidi lakini Zitto hakupokea kwa sababu alijawa na uwoga na hakuwa tayari kupokea habari mbaya kwa wakati huo, anaeleza Zitto.
Baadae kidogo nikapigiwa na mh Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi ndipo kwa mujibu wa sheria ikanibidi nipokee na akanijulisha habari za msiba na tukakubaliana alitangazie taifa kisha nasi kama chama tukatangaza baada ya tangazo la serikali, amemalizia Zitto Kabwe.
Chanzo: Clouds TV
My take: Kiongozi anayeogopa taarifa ya msiba anaweza kuwa amiri jeshi mkuu kweli? Maana 2025 Zitto anatajwa kugombea urais.
Maendeleo hayana vyama!