Zitto: Msaidizi wa Maalim Seif alinipigia simu mara 4 kutaka kunijulisha msiba sikupokea ndipo akanipigia Rais Mwinyi nikapokea kwa mujibu wa sheria

Zitto: Msaidizi wa Maalim Seif alinipigia simu mara 4 kutaka kunijulisha msiba sikupokea ndipo akanipigia Rais Mwinyi nikapokea kwa mujibu wa sheria

Zitto naye ana mambo ya hovyo sn, kwa hiyo simu ya Mwinyi ndiyo muhimu sn kwake? hovyo kabisa
 
Hivi wale wanaoweka miili ya watu kwenye viroba ndio wasioogopa taarifa za misiba?
 
Hii thread ni nzuri ila hiyo hoja yako ya mstari mwisho imevuruga taaluma yako, huna kitu kichwani
 
Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 KC wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema siku maalim Seif alipofariki yeye alikwenda hospitali asubuhi na kuelezwa maendeleo ya mgonjwa.

Anasema ilipofika saa 5 na ushee akiwa katika shughuli za chama alipigiwa simu na msaidizi wa maalim Seif aliyekuwa anashinda pale hospitali na hakuipokea.

Akapiga tena mara tatu zaidi lakini Zitto hakupokea kwa sababu alijawa na uwoga na hakuwa tayari kupokea habari mbaya kwa wakati huo, anaeleza Zitto.

Baadae kidogo nikapigiwa na mh Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi ndipo kwa mujibu wa sheria ikanibidi nipokee na akanijulisha habari za msiba na tukakubaliana alitangazie taifa kisha nasi kama chama tukatangaza baada ya tangazo la serikali, amemalizia Zitto Kabwe.

Chanzo: Clouds TV

My take: Kiongozi anayeogopa taarifa ya msiba anaweza kuwa amiri jeshi mkuu kweli? Maana 2025 Zitto anatajwa kugombea urais.

Maendeleo hayana vyama!
Alijuaje ni taarifa ya msiba akaacha kupokea?
 
Kumwamini Zitto utahitaji nguvu ya ziada !!
 
Hoja hujibiwa kwa hoja!
Wapi na wapi kuweza kuwa kiongozi na kushtushwa ama kuogopa msiba?

Zitto ni mwanadamu kama wewe na mimi na hata rais wako Magu mara kadhaa ukitokea msiba huandika 'kashtushwa' mana hili ni jambo ingawa ni la haki lakini kuns pazia nene lilopo kutokujua nani na lini na wakati gani atafariki ndio mana mwanadamu akipata taarifa ya fulani kafa hushtuka na kuogopa hasa kwa mtu uliyemfahamu na kumjua zaidi wa karibu yako, Quran tukufu sisi waislamu imekuwa ikituasa mara kadhaa kuogopa mauti na kututaka tutende mema ili tupate msaada wa Mungu siku ya siku.

Ndio mana kabla sikutaka kukujengea hoja kwamba haikuwa matumaini yangu kwa hata hili la muumba hulifahamu wala sikutegemea kwamba ungekuwa hufahamu chochote kuhusu mauti/kufa.
 
Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 KC wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema siku maalim Seif alipofariki yeye alikwenda hospitali asubuhi na kuelezwa maendeleo ya mgonjwa.

Anasema ilipofika saa 5 na ushee akiwa katika shughuli za chama alipigiwa simu na msaidizi wa maalim Seif aliyekuwa anashinda pale hospitali na hakuipokea.

Akapiga tena mara tatu zaidi lakini Zitto hakupokea kwa sababu alijawa na uwoga na hakuwa tayari kupokea habari mbaya kwa wakati huo, anaeleza Zitto.

Baadae kidogo nikapigiwa na mh Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi ndipo kwa mujibu wa sheria ikanibidi nipokee na akanijulisha habari za msiba na tukakubaliana alitangazie taifa kisha nasi kama chama tukatangaza baada ya tangazo la serikali, amemalizia Zitto Kabwe.

Chanzo: Clouds TV

My take: Kiongozi anayeogopa taarifa ya msiba anaweza kuwa amiri jeshi mkuu kweli? Maana 2025 Zitto anatajwa kugombea urais.

Maendeleo hayana vyama!
Huu mjani ulioanza kuuvuta ukubwani kamwe hautakuacha salama, yaani sasa hivi huna tofauti na jingalao kabisa unamwaga mashudu tupu hapa jukwaani
JamiiForums-157505123.jpg
 
Back
Top Bottom