Ni Zitto au former CAG?Kuna watu hapa Zitto ndiyo lulu na encyclopaedia yao. Akisema jambo hata la uzusihi watalipamia kama walizaliwa nalo. Alitoa uzushi wa trilioni 1.5 bila ushahid, mpaka leo bado bado wanaimba uzusihi huo hata baada ya kuwa imekuwa proved kuwa ulikuwa ni uwongo.
Kwa hiyo zito anajua ana wafuiasi watakaokubali lolote atakalosema, na sasa anawaambia kuwa ataipigia debe serikali kusudi wafuasi wake nao waingie kupiga debe
Mkuu, hii ni comedy au satire? Anyway, natumaini itapokelewa vyema.Mkuu Bite, Beatrice Kamugisha , ZZK is very right, hii ndio kitu kinachoitwa political maturity, kwa maoni yangu ZZK is maturing well kwenye politics kwa kufuata kanuni inayoitwa "managing political divesity" you can't treat a female politician as how you treated male!. JPM was a male politician hivyo unaweza kum criticize utakavyo na hata kumtukana hata kumtusi na ikaonekana ni kawaida, its not a big deal, lakini huwezi kumtukana mwanamke na inaonekana ni kawaida. Mwanaume akidhalilishwa anadhalilika na kunyong'onyea tuu, akipiga vitu analala akiamka its another day, life goes on as if nothing happens. Lakini kumdhalilisha mwanamke, anaumia, anaweza kulia machozi, la ukiangalia macho yenyewe yale alafu uyalize !. No !. Zitto is very right, ukosoaji utaendelea but with dignity kwa lugha za heshima na staha, sio kwa udhalilishaji kubeza au kubagaza, tunaongozwa na Mama na sio Baba, lazima tubadilike twende nae taratibu, tusimkilbize mchaka mchaka, sio mnatuona hata kina sisi, the tone has changed, huyu Mama...basi tuu
Hebu just imagine...
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...www.jamiiforums.com
Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
Wanabodi, Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye sifa na uwezo, lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu kisiasa kutokana na nyingi ya nafasi hizo, kuhodhiwa na wanaume, katika kitu kinachoitwa "mfumo dume!" Swali ni je...www.jamiiforums.com
Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...www.jamiiforums.com
P
Kama alivyopuuzwa Lissu alipoitisha maandamano baada kushindwa uchaguzi maana watu walijua anapigania tumbo lake!
Vipi unaumia nikuongeze mito!Pole mjane,huyo ni THE GREATEST
JK aliwekwa na wana mtandao lakini alipoingia Ikulu ule mtandao iligawanyika mpaka kwenye chama na baraza la mawaziri!Eti Rais akiwa Muislam Zitto huwa haongei
Umaarufu wa Zitto Kabwe umepatikana wakati wa Jakaya kutokana na kuongea Jee JK ni Myahudi?
Kashfa za Escrow na kadhia kadhaa alizoibua Wakati wa JK ulikuwa bado upo kijijini?
Hakuna Wakati Zitto alikuwa anakosoa Serikali kama wakati wa JK
Tatizo lako wewe na wenzio wengi mnaofanana kila jambo analozungumza Zitto mnamtazama kwa namna mlivyojiaminisha na hilo sio kosa kisheria ila ni kosa kimantiki
Kuna Wanasiasa wangapi wasio waislam walimkosoa sana JK lakin awamu iliyopita wakaufyata na sasa wamerudi kwny kukosoa na hakuna anaewatazama kwa mtazamo wa kiimani?
Mm nilikuwa mtumish wa halmashauri huko Tanzania. Nilishiriki chaguzi nyingi kama msimamizi ccm hawashindi mzee. Bila hila hawana uwezo wa kushinda hata uchaguzi wa kitongojo hao. Acha nikuache ukinengua hapo lumumbaKura huwa haziibwi ila hazitoshi huwa hamuambiwi ukweli!
Weka ushahidi vinginvyo ni porojo na blah blah blahMm nilikuwa mtumish wa halmashauri huko Tanzania. Nilishiriki chaguzi nyingi kama msimamizi ccm hawashindi mzee. Bila hila hawana uwezo wa kushinda hata uchaguzi wa kitongojo hao. Acha nikuache ukinengua hapo lumumba
Niweke ushahidi niwaweWeka ushahidi vinginvyo ni porojo na blah blah blah
Wanaharakati wa haki za wanawake wamepigania usawa miaka mingi sana , usawa sio mishahara sawa na vyeo tuu hata kukosoana kuwe na usawa, waombe wanawake radhi tafadhariMkuu Bite, Beatrice Kamugisha , ZZK is very right, hii ndio kitu kinachoitwa political maturity, kwa maoni yangu ZZK is maturing well kwenye politics kwa kufuata kanuni inayoitwa "managing political divesity" you can't treat a female politician as how you treated male!. JPM was a male politician hivyo unaweza kum criticize utakavyo na hata kumtukana hata kumtusi na ikaonekana ni kawaida, its not a big deal, lakini huwezi kumtukana mwanamke na inaonekana ni kawaida. Mwanaume akidhalilishwa anadhalilika na kunyong'onyea tuu, akipiga vitu analala akiamka its another day, life goes on as if nothing happens. Lakini kumdhalilisha mwanamke, anaumia, anaweza kulia machozi, la ukiangalia macho yenyewe yale alafu uyalize !. No !. Zitto is very right, ukosoaji utaendelea but with dignity kwa lugha za heshima na staha, sio kwa udhalilishaji kubeza au kubagaza, tunaongozwa na Mama na sio Baba, lazima tubadilike twende nae taratibu, tusimkilbize mchaka mchaka, sio mnatuona hata kina sisi, the tone has changed, huyu Mama...basi tuu
Hebu just imagine...
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...www.jamiiforums.com
Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
Wanabodi, Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye sifa na uwezo, lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu kisiasa kutokana na nyingi ya nafasi hizo, kuhodhiwa na wanaume, katika kitu kinachoitwa "mfumo dume!" Swali ni je...www.jamiiforums.com
Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...www.jamiiforums.com
P
Ndio uliyotaka kusema lakini ushahidi huna,huo utumishi wako nawe ulisaidia kuiba kura za chama chako kweli wasaliti hawaishi dunia hii!Mm nilikuwa mtumish wa halmashauri huko Tanzania. Nilishiriki chaguzi nyingi kama msimamizi ccm hawashindi mzee. Bila hila hawana uwezo wa kushinda hata uchaguzi wa kitongojo hao. Acha nikuache ukinengua hapo lumumba
Mkuu Kong Chi, hapa umechanganya vitu viwili, equality na equal status or equal treatment, kinachopiganiwa ni equal status na equal rights and treatment lakini sio usawa wa kila kitu. The difference between male and female is not only the sex organs, but also the way we think, men thinks, women feels, ukimtukana tusi la nguoni mwanaume, the impact ya tusi hilo ni tofauti na ukimtukana mwanamke, kwa mwanamke linamuumiza sana, ndio maana hata kisheria, mwanaume ukitukanwa tusi la nguoni, kama hakuna mtu mwingine yeyote aliyesikia ukitukanwa, then huwezi kushitaki popote bila ushahidi, lakini mwanamke akitukanwa tusi la nguoni, hata bila ushahidi wa mtu mwingine yoyote kusikia, akikushitaki, unaadhibiwa. Haki hiyo ya mwanamke kushitaki bila ushahidi, iko limited kwenye kutukanwa matusi ya nguoni yanayohusu matumizi ya kile kiungo cha mwanamke only. Sheria ya kosa hilo inaitwa "crimes against the chastity of a woman".Wanaharakati wa haki za wanawake wamepigania usawa miaka mingi sana , usawa sio mishahara sawa na vyeo tuu hata kukosoana kuwe na usawa, waombe wanawake radhi tafadhari
Endelea kunengua nyimbo za bi khadijah kopa.yule anayewanengulisha Kule chimwaga hadi mnachagua wenye mafail mirembeNdio uliyotaka kusema lakini ushahidi huna,huo utumishi wako nawe ulisaidia kuiba kura za chama chako kweli wasaliti hawaishi dunia hii!
JK aliwekwa na wana mtandao lakini alipoingia Ikulu ule mtandao iligawanyika mpaka kwenye chama na baraza la mawaziri!
Zitto kazi yake ilikuwa ni kula vichwa vya upande wa pili!
Jiulize zile siri kama za kina Karamagi na wengineo. Zitto alikuwa anazipata wapi!!
Halafu Kampeni 2010. JK alipiga kampeni Kigoma lakini kwenye jimbo la Zitto aliruka!!