Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Zito yuko sahihi
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza nguvu ya ccm iko tanzania bara na siyo Zanzibar.Hapana upande wa Zanzibar ACT wapo vzr kuliko chadema
Kha! Tulia wewe, kidogo tu.Sitaki
Chadema OyeeeeeeeeeeKha! Tulia wewe, kidogo tu.
Akaing'oe yeye sasa anazani 2015 upinzani ulikuwa sehemu nzuri sana kuliko wakati wowote.Wakijiunga wote na akina Dovutwa wakipata kura nyingi ni milioni moja na nusu, sasa hizo zinaweza kuwaweka madalakani?
Ifafanue hiyo nguvu waliyonayo nieleweACT ana nguvu kwasasa bila kujali ya nyuma .lengo la chama chochote ni kushika dola tusitizame kwa mrengo wa ACT kuwa na nguvu Bali kumuua nyoka ccm.
Wabunge wote wa cuf na madiwanj wamehamia ACTIfafanue hiyo nguvu waliyonayo nielewe