Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Status
Not open for further replies.
We Zitto huna nidhamu na ni mpuuzi wa karne. Uliandika kwa mkono wako ukatweet upuuzi kisha ukagundua umechemka unataka kutudanganya nini? Binafsi nimekumind sana sana na ninakuahidi nitatafuta njia nzuri ya kuelimisha umma kuhusu wizi wako wa mali za Umma. Fisadi mkubwa. You are not a Human Being and you dont love this Country! Nimeumia sana kwa kweli. Huwezi ukamuombea Rais wa Nchi Kifo. Akili huna. Zamani nilidhani Vyeti ni akili kumbe big no. Huwezi kuwa hata mkuu wa Mkoa wewe. Na hiyo akaunti yako ya Kigogo2014 tumeshaishtukia. Endelea Mungu atakufundisha.

Yaani hapa ni kama unafua nguo na maji ya chooni kisha unaenda kusuuza na maji ya tope. Hapa naona furushi la maneno ya mihemko na kujipendekeza juu.
 
Kwani kabla hajazushiwa, hizo hatua za visible na invisible hajachukua? Au kuna hatua mpya atachukua sasa? Hatua yoyote ya sasa tafsiri yake ni muendelezo wa chuki dhidi ya wale wasiomsujudia. Hizo chuki kazipanda mwenyewe, iweje akimbie mrejesho wa alichokitengeneza? Ajitafakari kwa uonevu anaoufanya wa kiitikadi kama anataka tuwe pamoja, na kama hataki asikimbie majibu. Hata kilichomkuta Tundu Lissu uliunga mkono, hivyo usiopunga mkono hizo hatua unazopendekeza, nitakukumbusha uziunge mkono.
Kwahiyo kumzushia mkuu kifo ni moja ya kukosoa?
 
Kwahiyo kumzushia mkuu kifo ni moja ya kukosoa?

Mangapi yamekosolowe na kushauriwa na hayajafanyiwa kazi? Huko kumzushia ni uzushi kama uzushi mwingine, unaweza kuupuza maana sio issue sana. Kuna ya msingi zaidi ya uzushi wa mitandaoni tungeweza kujadili. Suala la msingi katika huo uvumi, ni kuwa kuna baadhi ya watu wameonyesha kuwa hawatendei sawa watu wa itikadi tofauti na yeye, na chini ya utawala wake box la kura limezidi kutoheshimiwa. Ni suala simple, sioni kama kuna jipya kwenye huo mjadala ambao dhahiri ni uzushi.

Ungejikita kwenye ule mkataba wa Tanzania na Barrick kuhusu Tanzania kupata 16% na sio 50/50, wangalau ningeona unajadili jambo la maana. Unakwama wapi Misuli?
 
Kwani kabla hajazushiwa, hizo hatua za visible na invisible hajachukua? Au kuna hatua mpya atachukua sasa? Hatua yoyote ya sasa tafsiri yake ni muendelezo wa chuki dhidi ya wale wasiomsujudia. Hizo chuki kazipanda mwenyewe, iweje akimbie mrejesho wa alichokitengeneza? Ajitafakari kwa uonevu anaoufanya wa kiitikadi kama anataka tuwe pamoja, na kama hataki asikimbie majibu. Hata kilichomkuta Tundu Lissu uliunga mkono, hivyo usiopunga mkono hizo hatua unazopendekeza, nitakukumbusha uziunge mkono.
A picture speaks a thousand words!
FB_IMG_15716576015512139.jpeg
 
Mbna umekuwa mtetezi wa Zitto sana tindo, kunani?
Mangapi yamekosolowe na kushauriwa na hayajafanyiwa kazi? Huko kumzushia ni uzushi kama uzushi mwingine, unaweza kuupuza maana sio issue sana. Kuna ya msingi zaidi ya uzushi wa mitandaoni tungeweza kujadili. Suala la msingi katika huo uvumi, ni kuwa kuna baadhi ya watu wameonyesha kuwa hawatendei sawa watu wa itikadi tofauti na yeye, na chini ya utawala wake box la kura limezidi kutoheshimiwa. Ni suala simple, sioni kama kuna jipya kwenye huo mjadala ambao dhahiri ni uzushi.

Ungejikita kwenye ule mkataba wa Tanzania na Barrick kuhusu Tanzania kupata 16% na sio 50/50, wangalau ningeona unajadili jambo la maana. Unakwama wapi Misuli?
 
Mbna umekuwa mtetezi wa Zitto sana tindo, kunani?

Mkuu nitendee haki sina sababu ya kumtetea Zitto, kwasababu mimi sio sehemu ya watu walioamini huo uzushi wa kigogo maana namfahamu. Ninachosema Zitto ameomba msamaha ili iwe nini? Kila siku si wanafanyiwa ukatili wa wazi na vyombo vya dola tena kwa maagizo ya wanasiasa walio madarakani, mbona wao hawamuombi msamaha? Labda unionyeshe sehemu yoyote niliyomtetea sana Zitto.

Mimi kwangu nimesema huu uvumi kuhusu rais, ilikuwa ni sehemu sahihi ya sisi wengine kuonyesha hisia zetu kwamba rais anatumia madaraka yake kukandamiza wasio wa itikadi yake, na anahujumu box la kura kwa faida ya chama chake. Hivyo kwa sababu hiyo anapokuwa kwenye matatizo sio rahisi wanaohisi kutotendewa sawa kuwa upande wake. Utaratibu kama huu kwa jamii yetu hutumika sana, kama huishi na watu vizuri, siku ukifiwa au kuandaa sherehe watu hawajitokezi, na hata watakaojitokeza wanaweza wasile chakula ulichoandaa kama sehemu ya kukuonyesha kuwa hutendi sawa. Sioni tatizo kwenye hili, na wala hapo hamna utetezi wowote kwa Zitto kuhusu maoni yangu.
 
nimekusoma mkuu, niwie radhi, nilidhani umesimama naye, hoja yako nimeshaielewa.
Mkuu nitendee haki sina sababu ya kumtetea Zitto, kwasababu mimi sio sehemu ya watu walioamini huo uzushi wa kigogo maana namfahamu. Ninachosema Zitto ameomba msamaha ili iwe nini? Kila siku si wanafanyiwa ukatili wa wazi na vyombo vya dola tena kwa maagizo ya wanasiasa walio madarakani, mbona wao hawamuombi msamaha? Labda unionyeshe sehemu yoyote niliyomtetea sana Zitto.

Mimi kwangu nimesema huu uvumi kuhusu rais, ilikuwa ni sehemu sahihi ya sisi wengine kuonyesha hisia zetu kwamba rais anatumia madaraka yake kukandamiza wasio wa itikadi yake, na anahujumu box la kura kwa faida ya chama chake. Hivyo kwa sababu hiyo anapokuwa kwenye matatizo sio rahisi wanaohisi kutotendewa sawa kuwa upande wake. Utaratibu kama huu kwa jamii yetu hutumika sana, kama huishi na watu vizuri, siku ukifiwa au kuandaa sherehe watu hawajitokezi, na hata watakaojitokeza wanaweza wasile chakula ulichoandaa kama sehemu ya kukuonyesha kuwa hutendi sawa. Sioni tatizo kwenye hili, na wala hapo hamna utetezi wowote kwa Zitto kuhusu maoni yangu.
 
Mangapi yamekosolowe na kushauriwa na hayajafanyiwa kazi? Huko kumzushia ni uzushi kama uzushi mwingine, unaweza kuupuza maana sio issue sana. Kuna ya msingi zaidi ya uzushi wa mitandaoni tungeweza kujadili. Suala la msingi katika huo uvumi, ni kuwa kuna baadhi ya watu wameonyesha kuwa hawatendei sawa watu wa itikadi tofauti na yeye, na chini ya utawala wake box la kura limezidi kutoheshimiwa. Ni suala simple, sioni kama kuna jipya kwenye huo mjadala ambao dhahiri ni uzushi.

Ungejikita kwenye ule mkataba wa Tanzania na Barrick kuhusu Tanzania kupata 16% na sio 50/50, wangalau ningeona unajadili jambo la maana. Unakwama wapi Misuli?
Mkuu yani katika huu uzi wewe ndio mwenye post nyingi kuliko mchangiaji yeyote yule.

Hivi huoni aibu, si bora ungeanza kujadili hata mambo basi yatakayo wapa ushindi kwenye chaguzi zijazo?
 
Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema:

Mosi: Afya ya Rais wa nchi ni maslahi ya taifa na inapaswa kutofanyiwa soga. Afya ya Rais inahusika na maslahi ya nchi yetu ndani na nje. Tusiuendee uvumi huu kwa papara. Tuwe watulivu, tuipe nafasi Serikali na mamlaka zake zitupatie taarifa kamili na kwa wakati unaofaa.

Inawezekana kuwa katika hali hii ya sintofahamu baadhi yetu tumefanya mambo yanayotafsirika kuombea mabaya kutokea. Binafsi naomba radhi kwa tafsiri hizo hata kama haikuwa nia wala madhumuni.

Pili: Tuendeleze tunu yetu ya utu, umoja na mshikamano ambazo tumeachiwa na Mwalimu Nyerere ambaye tumetoka kuadhimisha miaka 20 ya kifo chake wiki iliyopita. Tusiruhusu chuki kuteka mijadala yetu. Chuki haiwezi kuwa jawabu la chuki. Utu ndio jawabu sahihi la chuki.

Tatu: Ni busara kwa Serikali kuwaondoa hofu wananchi juu ya uvumi huu maana kutofanya hivyo kunazua taharuki inayoweza kuepukika. Ikiwa kweli Rais wetu amepata dharura ya kiafya kama uvumi unavyosema basi haitakuwa mara ya kwanza kwa hilo kutokea nchini.

Watanzania ni waelewa na wenye mapenzi na wenye utu. Tumeona walivyowaombea marais wao Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete walipopata matatizo ya kiafya wakiwa madarakani. Naamini wataungana na kusimama pamoja kama taifa kumuombea Rais wetu na nchi yetu.

Zitto Kabwe, Mb
Kiongozi wa ACT Wazalendo
Kibingo, Mamlaka ya Mji Mdogo Mwandiga, Kigoma
20/10/2019
Wacha unafiki. Na wewe uliweka picha ya mwanamke akikagua gard ya heshima. Unakumbuka uliandika Nini?.
 
Hii ndo post ya zitto walipoanza kutoa na kueneza uvumi wao. Yaani kubwa zima halina akili.

Kuna watu wanaudhi sana. Afu unataka serikali itoe uvumi. Wakati wewe ndo ulileta huo uvumi. Wewe ndo unatakiwa kutoa hofu ulizoleta mpuuzi mkubwa. View attachment 1239232
Natamani nimtukane. Lakini naogopa kufungiwa. Nikidhani Zitto NI mwanasiasa mwenye akili na upendi kumbe ni hafadhali ya Iddi Amini aka Nduli
 
Mkuu yani katika huu uzi wewe ndio mwenye post nyingi kuliko mchangiaji yeyote yule.

Hivi huoni aibu, si bora ungeanza kujadili hata mambo basi yatakayo wapa ushindi kwenye chaguzi zijazo?

Una ushauri mzuri sana iwapo kungekuwa na uchaguzi, lakini hakuna uchaguzi bali kuna zoezi la kuwahalalisha wanaccm. Huyo niliyemjibu nimemjibu kama yeye maana naukubali uwezo wake. Lakini nguruwe pori kama ww ndio wanachangia niwe na post nyingi kwenye huu uzi. Huoni kwenye ule uzi wako kule nimekupa ukweli wako, ukatoka kule kwa hasira mpaka umekuja huku kuhesabu post zangu?
 
Mkuu yani katika huu uzi wewe ndio mwenye post nyingi kuliko mchangiaji yeyote yule.

Hivi huoni aibu, si bora ungeanza kujadili hata mambo basi yatakayo wapa ushindi kwenye chaguzi zijazo?
Huyu jamaa itakuwa analipwa kuishambulia serikali. Anajuhudi sana kwenye hilo.
 
Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema:

Mosi: Afya ya Rais wa nchi ni maslahi ya taifa na inapaswa kutofanyiwa soga. Afya ya Rais inahusika na maslahi ya nchi yetu ndani na nje. Tusiuendee uvumi huu kwa papara. Tuwe watulivu, tuipe nafasi Serikali na mamlaka zake zitupatie taarifa kamili na kwa wakati unaofaa.

Inawezekana kuwa katika hali hii ya sintofahamu baadhi yetu tumefanya mambo yanayotafsirika kuombea mabaya kutokea. Binafsi naomba radhi kwa tafsiri hizo hata kama haikuwa nia wala madhumuni.

Pili: Tuendeleze tunu yetu ya utu, umoja na mshikamano ambazo tumeachiwa na Mwalimu Nyerere ambaye tumetoka kuadhimisha miaka 20 ya kifo chake wiki iliyopita. Tusiruhusu chuki kuteka mijadala yetu. Chuki haiwezi kuwa jawabu la chuki. Utu ndio jawabu sahihi la chuki.

Tatu: Ni busara kwa Serikali kuwaondoa hofu wananchi juu ya uvumi huu maana kutofanya hivyo kunazua taharuki inayoweza kuepukika. Ikiwa kweli Rais wetu amepata dharura ya kiafya kama uvumi unavyosema basi haitakuwa mara ya kwanza kwa hilo kutokea nchini.

Watanzania ni waelewa na wenye mapenzi na wenye utu. Tumeona walivyowaombea marais wao Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete walipopata matatizo ya kiafya wakiwa madarakani. Naamini wataungana na kusimama pamoja kama taifa kumuombea Rais wetu na nchi yetu.

Zitto Kabwe, Mb
Kiongozi wa ACT Wazalendo
Kibingo, Mamlaka ya Mji Mdogo Mwandiga, Kigoma
20/10/2019



Msitunge maneno ya Uzushi ili mjibiwe!
IMG_20191018_230901.jpg
 
Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema:

Mosi: Afya ya Rais wa nchi ni maslahi ya taifa na inapaswa kutofanyiwa soga. Afya ya Rais inahusika na maslahi ya nchi yetu ndani na nje. Tusiuendee uvumi huu kwa papara. Tuwe watulivu, tuipe nafasi Serikali na mamlaka zake zitupatie taarifa kamili na kwa wakati unaofaa.

Inawezekana kuwa katika hali hii ya sintofahamu baadhi yetu tumefanya mambo yanayotafsirika kuombea mabaya kutokea. Binafsi naomba radhi kwa tafsiri hizo hata kama haikuwa nia wala madhumuni.

Pili: Tuendeleze tunu yetu ya utu, umoja na mshikamano ambazo tumeachiwa na Mwalimu Nyerere ambaye tumetoka kuadhimisha miaka 20 ya kifo chake wiki iliyopita. Tusiruhusu chuki kuteka mijadala yetu. Chuki haiwezi kuwa jawabu la chuki. Utu ndio jawabu sahihi la chuki.

Tatu: Ni busara kwa Serikali kuwaondoa hofu wananchi juu ya uvumi huu maana kutofanya hivyo kunazua taharuki inayoweza kuepukika. Ikiwa kweli Rais wetu amepata dharura ya kiafya kama uvumi unavyosema basi haitakuwa mara ya kwanza kwa hilo kutokea nchini.

Watanzania ni waelewa na wenye mapenzi na wenye utu. Tumeona walivyowaombea marais wao Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete walipopata matatizo ya kiafya wakiwa madarakani. Naamini wataungana na kusimama pamoja kama taifa kumuombea Rais wetu na nchi yetu.

Zitto Kabwe, Mb
Kiongozi wa ACT Wazalendo
Kibingo, Mamlaka ya Mji Mdogo Mwandiga, Kigoma
20/10/2019
Huyu Zitto atakuwa karithishwa uchawi na marehemu mama yake
 
Zitto ni mnafiki yeye naye ndio alikuwa ana eneza uvumi huo na uzushi hahahaha koma acha unafiki bora uendelee kuwa mchawi kuliko kuwa mnafiki!
Usipaniki brother fahamu kama mficha uchi hazai kama ni mnafiki au siyo mnafiki tunapenda tujue ukweli ukowapi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom