Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
We Zitto huna nidhamu na ni mpuuzi wa karne. Uliandika kwa mkono wako ukatweet upuuzi kisha ukagundua umechemka unataka kutudanganya nini? Binafsi nimekumind sana sana na ninakuahidi nitatafuta njia nzuri ya kuelimisha umma kuhusu wizi wako wa mali za Umma. Fisadi mkubwa. You are not a Human Being and you dont love this Country! Nimeumia sana kwa kweli. Huwezi ukamuombea Rais wa Nchi Kifo. Akili huna. Zamani nilidhani Vyeti ni akili kumbe big no. Huwezi kuwa hata mkuu wa Mkoa wewe. Na hiyo akaunti yako ya Kigogo2014 tumeshaishtukia. Endelea Mungu atakufundisha.
Yaani hapa ni kama unafua nguo na maji ya chooni kisha unaenda kusuuza na maji ya tope. Hapa naona furushi la maneno ya mihemko na kujipendekeza juu.