Umemaliza..Juzi ulikuwa kwenye kikao,uliugua lini,ulizidiwa lini? Umepata nafuu lini?
Umemaliza kutumika kwenye issue ya Mbowe,umeamua kutumika Kama dalali wa Corona?
JPM alishatuondolea hofu,kawatishe wa kwenu Kigoma,sisi Corona ni mafua ya kawaida.
Neema ya Bwana yatosha.
Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
TZ tuko wa kipekee sana huu ugonjwa kupitia Omicron umesambaa dunia nzima lakini ukiwasikiliza wahusika watasema bila aibu TZ hakuna Omicron wakati maelfu wanaugua na kuna uwezekano huyu Omicron akajibadilisha na kusababisha madhara makubwaJana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Unampa pole yanini kwani amekuambia anaumwa?. Amesema hana maumivu yoyote sasa pole ya nini!.Pole sana ZZK ... get well soon
Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Si juzi ulikuwa na Rais?Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Nakuombea kwa mungu ufe ili kazi iendelee Mana we ndo kikwazo kwenye huu ukomboziJana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Inawezekana kabisaHuyu bwana ni vigumu kumwamini kutokana na historia yake. Yawezekana anatumika kama ubao wa matangazo ya kuhimiza chanjo.