Taarifa toka majira? ni sawa na Uhuru, mzalendo, Mtanzania, jambo leo..........
Nafikiri kuwa bado taifa linamhitaji ZITO katika medani za siasa, mchngo wake ktk umri wake ni inspiration kubwa vijana. Anyway, Seeing in believing!Source Majira
Mbunge wa kigoma kaskazini bwana Zitto Kabwe kafichua siri nzito na kudai hana mpango wa kugombea urais mwaka 2015 na wala hatagombea ubunge ila anataka kutafuta chuo na awe mwalimu wa chuo na analenda sasa kufundisha maswala ya uchumi na mazingira ndio dhamira yake
Ninachojua kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ambayo itapita, ZZK atakuwa WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI, (waziri hatakuwa mbunge na atapewa kazi ya uwaziri kwa kuzingatia taaluma yake) KAKA ZZK yupo sahihi na naamini atafanikiwa kufufua uchumi wetu. Maccm mlie tu, 2015 huyohuyo ZITO atapeleka charge mahakama ya ICC kufilisi majangili yote.
Ninachojua kwa mujibu
wa Rasimu ya Katiba ambayo itapita, ZZK atakuwa WAZIRI WA FEDHA NA
UCHUMI, (waziri hatakuwa mbunge na atapewa kazi ya uwaziri kwa
kuzingatia taaluma yake) KAKA ZZK yupo sahihi na naamini atafanikiwa
kufufua uchumi wetu. Maccm mlie tu, 2015 huyohuyo ZITO atapeleka charge
mahakama ya ICC kufilisi majangili yote.
Mbona magamba ndo wanachangamkia thread hii kuliko zingine? Amazing.
CDM watakuja kujua umuhimu wa Zitto baadaye. Zitto ni jembe sana ndani ya CDM Hana siasa za maji taka Kama akina Lissu, Lema na Sugu. Hakuna asiyejua mchango wa Zitto kwa CDM. Hawa vijana akina Lema hawajengi CDM Bali wamekidhoofisha sana chama kwa siasa zao za maji taka. Pumzika kaka pumzika Zitto
uko shallow kwenye politcal analysis,nadhani wewe utakuwa ni injinia au mhasibu,achana na siasa huzijui.Zitto ni hazina Chadema, kuondoka kwake iwe kwa mazingira yoyote yawayo ni HASARA na PIGO kubwa sana kwa Chadema.
Nawahakikishia iwapo hii ni kweli, Chadema itapasuka. Period!
Hao wanzanzibar acheni waende tu kelele zimezidi
Mtu complex hawezi toa maelezo mepesi kiasi hiki,kwan mbunge hawezi kufundisha???!!!!
Si anakaa Dar jimbo lipo Kigoma sasa atashindwa kuishi Mwanza kwenye vyuo na aendelee huko kanda ya ziwa???!!
If this is true ,he should come out clean!!!!!
Kwa uwezo wake na matumaini ya baadhi ya watu juu yake ni sawa na dereva kugomea safari katikati ya msitu!!!!
Aseme safari ngumu.??????
Gari bovu????!
Uwezo wa kuendesha umeshuka??!!!
Konda na tanboi hawampi ushirikiano safarini???!!!!
Nia ilikuwa sio kufika???!!!
Alitaka tu kuonekana akilitoa basi kituoni????!!!!!
Alitaka kuendesha magari katika kampuni ya kimataifa ila ilikiwa ni lazima aendeshe basi kwanza???
Hata Nyerere alikuwa hivyo wakati wa Uhuru lakini siyo kwasababu amekufa siasa hazitaendeleaZitto waliwabeba vijana kwa kuliteta msisimko wa siasa kwa vijana:
1. uwezo wake wa siasa kama kijana uliwafanya wananchi wawaamini vijana na kuwachagua kuwa viongozi.
2. vijana wakajiamini kuwa kumbe wanaweza kuchaguliwa na kuongoza.
Zitto bado anahitajika kwenye siasa lakini hata akiondoka atakuwa ameacha athari kubwa nzuri.
Mbowe amewakatisha tamaa wengi sana kwa kutoa kauli za uongo. Usikate tamaa lakini mkuu, siku hazigandi...
You have point!Ninachojua kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ambayo itapita, ZZK atakuwa WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI, (waziri hatakuwa mbunge na atapewa kazi ya uwaziri kwa kuzingatia taaluma yake) KAKA ZZK yupo sahihi na naamini atafanikiwa kufufua uchumi wetu. Maccm mlie tu, 2015 huyohuyo ZITO atapeleka charge mahakama ya ICC kufilisi majangili yote.
Zito anategemea kuwa Waziri kwenye serikali ya CDM kwahiyo haitaji kuwa Mbunge kama Rasimu inavyojieleza
Uwamuzi wa busara sana huu, wasije kukutoa roho siasa mchezo mchafu sana,yoyote alie msafi hawezi cheza mchozo huo.Source Majira
Mbunge wa kigoma kaskazini bwana Zitto Kabwe kafichua siri nzito na kudai hana mpango wa kugombea urais mwaka 2015 na wala hatagombea ubunge ila anataka kutafuta chuo na awe mwalimu wa chuo na analenda sasa kufundisha maswala ya uchumi na mazingira ndio dhamira yake
Mbona magamba ndo wanachangamkia thread hii kuliko zingine? Amazing.