Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Taarifa toka majira? ni sawa na Uhuru, mzalendo, Mtanzania, jambo leo..........

watu bana! wakizoea taarifa za udaku toka Tanzania Daima magazeti mengine wanaona hayafai
 
sixgates We mwenyewe unaonekana hamnazo halafu unawaita wenzako wajinga. Sisi tupo na Zitto because yeye yupo kitaifa zaidi na sio kichama. Kwenye mambo ya msingi yanayohusu taifa kwa ujumla anawekaga itikadi za siasa pembeni.

Ni mtanzania halisi wala sio mkanda,mdini wala mkabila.

Toka povu ila halitosaidia.
 
Last edited by a moderator:
Source Majira

Mbunge wa kigoma kaskazini bwana Zitto Kabwe kafichua siri nzito na kudai hana mpango wa kugombea urais mwaka 2015 na wala hatagombea ubunge ila anataka kutafuta chuo na awe mwalimu wa chuo na analenda sasa kufundisha maswala ya uchumi na mazingira ndio dhamira yake
Nafikiri kuwa bado taifa linamhitaji ZITO katika medani za siasa, mchngo wake ktk umri wake ni inspiration kubwa vijana. Anyway, Seeing in believing!
 
Ninachojua kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ambayo itapita, ZZK atakuwa WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI, (waziri hatakuwa mbunge na atapewa kazi ya uwaziri kwa kuzingatia taaluma yake) KAKA ZZK yupo sahihi na naamini atafanikiwa kufufua uchumi wetu. Maccm mlie tu, 2015 huyohuyo ZITO atapeleka charge mahakama ya ICC kufilisi majangili yote.

Hakuna anaependa majangili wala anaeshabikia mafisadi. Ikiwa atafanya ivo basi kwetu itakuwa furaha na tutampenda mara mia ya sasa.
 
Ninachojua kwa mujibu
wa Rasimu ya Katiba ambayo itapita, ZZK atakuwa WAZIRI WA FEDHA NA
UCHUMI, (waziri hatakuwa mbunge na atapewa kazi ya uwaziri kwa
kuzingatia taaluma yake) KAKA ZZK yupo sahihi na naamini atafanikiwa
kufufua uchumi wetu. Maccm mlie tu, 2015 huyohuyo ZITO atapeleka charge
mahakama ya ICC kufilisi majangili yote.

Kama Magufuli au Mwakyembe atakuwa Rais, Zitto inawezekana kupata madaraka ndani ya serikali ijayo. ila kama hawa wanaomwinda kwa sumu na kumkodia majambazi mama yake, hilo haliwezekani. kama wanashindwa kumtumia kwa nafasi yake ya Naibu Katibu Mkuu, seuze uwaziri! hilo haliwezekani
 
Mbona magamba ndo wanachangamkia thread hii kuliko zingine? Amazing.

Unaowaita magamba ni wazalendo thus why wanachangia kuona nguvukazi katika nyanja ya demokrasia itapungua.
 
CDM watakuja kujua umuhimu wa Zitto baadaye. Zitto ni jembe sana ndani ya CDM Hana siasa za maji taka Kama akina Lissu, Lema na Sugu. Hakuna asiyejua mchango wa Zitto kwa CDM. Hawa vijana akina Lema hawajengi CDM Bali wamekidhoofisha sana chama kwa siasa zao za maji taka. Pumzika kaka pumzika Zitto

Wewe aliyekuambia kuwa CDM hawatambui umuhimu na mchango mkubwa wa Zitto ni nani? Zito ni Naibu Katibu mkuu wa chama, asingekuwa na mchango mkubwa asingekuwa na nafasi hii kubwa na nyeti ndani ya chama. Zitto ni Mbunge na Naibu kiongozi kambi rasmi ya upinzani bungeni. Zitto ni mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya kusimamia mashirika ya umma na .... Zote hizi ni nafasi ni nyeti zinaaomfanya Zitto kuonyesha nguvu na utendaji wa wanachama na viongozi wa CDM katika nafasi mbalimbali kitaasisi.

Sasa unaposema watakujajutia, ni kwalipi? Zitto ataendelea kuwa hazina ya CDM hata kama attacha kugombea ubunge na urais. Yale aliyoyatenda ndio yatakayosimama na kumuuza yeye na chama chake!
 
Zitto waliwabeba vijana kwa kuliteta msisimko wa siasa kwa vijana:
1. uwezo wake wa siasa kama kijana uliwafanya wananchi wawaamini vijana na kuwachagua kuwa viongozi.
2. vijana wakajiamini kuwa kumbe wanaweza kuchaguliwa na kuongoza.
Zitto bado anahitajika kwenye siasa lakini hata akiondoka atakuwa ameacha athari kubwa nzuri.
 
Zitto ni hazina Chadema, kuondoka kwake iwe kwa mazingira yoyote yawayo ni HASARA na PIGO kubwa sana kwa Chadema.

Nawahakikishia iwapo hii ni kweli, Chadema itapasuka. Period!
uko shallow kwenye politcal analysis,nadhani wewe utakuwa ni injinia au mhasibu,achana na siasa huzijui.
 
Mtu complex hawezi toa maelezo mepesi kiasi hiki,kwan mbunge hawezi kufundisha???!!!!
Si anakaa Dar jimbo lipo Kigoma sasa atashindwa kuishi Mwanza kwenye vyuo na aendelee huko kanda ya ziwa???!!

If this is true ,he should come out clean!!!!!

Kwa uwezo wake na matumaini ya baadhi ya watu juu yake ni sawa na dereva kugomea safari katikati ya msitu!!!!

Aseme safari ngumu.??????
Gari bovu????!
Uwezo wa kuendesha umeshuka??!!!
Konda na tanboi hawampi ushirikiano safarini???!!!!
Nia ilikuwa sio kufika???!!!
Alitaka tu kuonekana akilitoa basi kituoni????!!!!!
Alitaka kuendesha magari katika kampuni ya kimataifa ila ilikiwa ni lazima aendeshe basi kwanza???

hoja yako ina mashiko. ufafanuzi wahirajika
 
Zito anategemea kuwa Waziri kwenye serikali ya CDM kwahiyo haitaji kuwa Mbunge kama Rasimu inavyojieleza
 
am born champion japo cjawah hata kushka namba ya kwanza kwenye jambo lolote dunia
 
Zitto waliwabeba vijana kwa kuliteta msisimko wa siasa kwa vijana:
1. uwezo wake wa siasa kama kijana uliwafanya wananchi wawaamini vijana na kuwachagua kuwa viongozi.
2. vijana wakajiamini kuwa kumbe wanaweza kuchaguliwa na kuongoza.
Zitto bado anahitajika kwenye siasa lakini hata akiondoka atakuwa ameacha athari kubwa nzuri.
Hata Nyerere alikuwa hivyo wakati wa Uhuru lakini siyo kwasababu amekufa siasa hazitaendelea
 
Ninachojua kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ambayo itapita, ZZK atakuwa WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI, (waziri hatakuwa mbunge na atapewa kazi ya uwaziri kwa kuzingatia taaluma yake) KAKA ZZK yupo sahihi na naamini atafanikiwa kufufua uchumi wetu. Maccm mlie tu, 2015 huyohuyo ZITO atapeleka charge mahakama ya ICC kufilisi majangili yote.
You have point!
 
Chadema hawana hasara yeyote kwa mh Zitto kujitoa kwani wanafahamu wazi hiki sio chama cha watanzania ila ni saccos ya familia.
 
Source Majira

Mbunge wa kigoma kaskazini bwana Zitto Kabwe kafichua siri nzito na kudai hana mpango wa kugombea urais mwaka 2015 na wala hatagombea ubunge ila anataka kutafuta chuo na awe mwalimu wa chuo na analenda sasa kufundisha maswala ya uchumi na mazingira ndio dhamira yake
Uwamuzi wa busara sana huu, wasije kukutoa roho siasa mchezo mchafu sana,yoyote alie msafi hawezi cheza mchozo huo.
 
Back
Top Bottom