Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Naona Chadema Kaskazini saizi ni furaha tu, habari njema kwao.

Vile vile Zitto, kutokuwepo kwenye wagombea ubunge ni pigo kubwa kwa Chadema ataondoka na kura zake.

Zitto, alikuwa ana balance chama kutokuwepo kwake ndiyo safari ya Chadema kupotea kwenye medani ya siasa.

Chadema sasa kitabaki kuwa chama cha Kaskazini, ndoto za kina Nassari zimetimia.
 
Last edited by a moderator:
Tembo wote wanaimalisha chama ,Cha magamba kwani ruzuku I mepungua kwa sababu ya CD M
 
kwahiyo kwako wewe siasa za kina Lema ni za maji taka! .... think in upper case!
 
I wonder!! inakuwaje ma ccm waumie na kulalamika as if wao ndiyo wameumia kuondoka kwa Zito so its true ana faida kwenu kuliko kwa wana cdm? kama ni hivyo bora aende tu.
 
Amezidi mno kusema, si atende sasa. Last election alisema, akagombea.

Attentions zitamuua huyu kipenzi cha UVCCM na chama twawala.
 

hiyo ndiyo siri nzito?!!!!!!!!
 
Lumumba kazi mnayo!!

Kuna thread kaileta Zitto mwenyewe "UJENZI na 250 bln" twende kule mkachangie pia!!!
 
Mtakuja kushangazwa! Chadema watawashangaza.CCM endeleeni kupiga risasi very wrong target!
 
anyways binafsi naona sawa tu kama GPA inamruhusu ni bora akafundishe uchumi kwani waalimu wa uchumi ni wachache sana. ubunge ni kuzeeshana tu
 
tunahitaji ufafanuzi wake mwenyewe hapa jf isije ikawa 2najadili uzushi.
 

sixgates katoa hoja za msingi sana, kwa nini watu walioshupalia jambo hili ni wajinga (hawajui, ignorant people). Nilitegemea ungejibu hoja zake na kuonyesha asivyo sahihi, lakini wewe umeamua kumwita taahira (mtu asiye na akili timamu), bila kuwa na sababu yeyote ya msingi !.
 

Umewahi kuwa mkweli na kujiuliza vizuri iwapo unajitambua?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

duh GT wa cku hizi bana......mkuu wewe ni mmoja wa failure wa mwaka jana? au akili zimezidi mno?

Zitto ameamua kukaa pembeni na siasa, hayo maswali unauliza kama Zitto umemtengeneza wewe na unamwamulia maisha, what a shame!!
 
Mgombea urais Chadema kabakia Dr.Slaa peke.

Mbowe, hawezi tena kugombea katiba mpya mgombea urais lazima Degree.
 

Kamsome tena katikati ya mstari utajua anachuki na Zito wala hana fact yeyote.
 
Basi limejaa chawa mpaka kwenye kiti cha dereva. Basi hilo uking'ang'ania kuliendesha unaweza kuliangusha wakati wa kujikuna...

hivi mmeshawahi kuona majirani wakikerekwa na maisha ya familia nyingine mpaka wanakosa amani! wanasema wao, wanachambua wao, wanauliza wao na wanaconclude na ku-recommend wao wakati familia husika wako kimyaaaaa! sijui tuwaiteje majirani wa aina hiyo? wana viherehere au? maana pilipili wanakula wengine wanawashwa wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…