Pre GE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Pre GE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).

Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli


Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
20241201_190243.jpg


Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).

Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701

Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
 
Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
 
Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Madaraka yamempanda kichwani ule utu aliokua nao mwanzo umeshapotea. Najiulizaga, ina faida gani uuwe watu wakati na wwe utakufa tu siku moja. We iba kura tu kila uchaguzi maisha yaendelee ila kuuana na kutekana is too much.

Nakumbuka 2020 CCM ilishinda almost kata zote na majimbo yote ila cha ajabu pale singida mjini kuna wamama waliokua mawakala wa Lissu wakapewa kesi ya uhujumu uchumi na haikua na dhamana. Nikawaza sasa kama umeshashinda unaenda kutesa watu wa nini? Kama huyu Mama kahusika basi mwisho wake utakua mbaya na wa aibu.
 
Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Yapo mashetani ya kike, huyu Mzanzibari ni mmojawao
 
Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Duuu.......
 
Hivi upumbavu huu utavumiliwa hadi lini? How long shall they kill our brothers and sisters while we standa aside and look? Itoshe Sasa, km hakuna la kufanya kuizuia CCM na state machinery zake kuteka, kupoteza Na kuua watu, wapinzani waache siasa. Mnasababisha Maisha ya watu kukatishwa kikatili, wengine wakiwa bado vijana wadogo wenye ndoto kubwa maishani. Kubalini kujiunga CCM in mass kama mnapenda siasa, ili kuponya uhai wenu na familia zenu. Angalia Peter Msigwa, ss hv ana guarantee ya kutokuguswa na Polisi au TISS, hata akisema Jambo baya jukwaani. Hawezi Tena kutekwa Wala kupotezwa. Ana bima ya usalama wake na familia yake.
Mbowe, Zitto na wengine, waoneeni huruma hawa vijana, bado wadogo sana kufukiwa ardhini mapema hivi. Kina Soka huenda walishaoza muda mrefu. Hatujui waliuwawaje. CCM hawana huruma. Kwao ni maslahi tu. Achaneni na siasa, km hakuna njia ya kuizuia CCM kuendesha udhalimu huu. Mtazima ndoto za vijana wengi wanaowaamini na kuwafuata huku mkijua CCM watachukua roho zao muda wowote walitaka.
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).

Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701

Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Free Nondo
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).

Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701

Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Kuna siku wataingia kwenye 18 za wananchi.

Ni dhahiri mahabusi za polisi zimegeuzwa vyumba vya mauaji ya raia.

Polisi hawafai kabisa kuvaa crown zenye nembo ya Tanzania
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).

Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701

Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Bila kuwindana na hawa wapumbavu tutateseka sana
 
Back
Top Bottom