Pre GE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Pre GE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi upumbavu huu utavumiliwa hadi lini? How long shall they kill our brothers and sisters while we standa aside and look? Itoshe Sasa, km hakuna la kufanya kuizuia CCM na state machinery zake kuteka, kupoteza Na kuua watu, wapinzani waache siasa. Mnasababisha Maisha ya watu kukatishwa kikatili, wengine wakiwa bado vijana wadogo wenye ndoto kubwa maishani. Kubalini kujiunga CCM in mass kama mnapenda siasa, ili kuponya uhai wenu na familia zenu. Angalia Peter Msigwa, ss hv ana guarantee ya kutokuguswa na Polisi au TISS, hata akisema Jambo baya jukwaani. Hawezi Tena kutekwa Wala kupotezwa. Ana bima ya usalama wake na familia yake.
Mbowe, Zitto na wengine, waoneeni huruma hawa vijana, bado wadogo sana kufukiwa ardhini mapema hivi. Kina Soka huenda walishaoza muda mrefu. Hatujui waliuwawaje. CCM hawana huruma. Kwao ni maslahi tu. Achaneni na siasa, km hakuna njia ya kuizuia CCM kuendesha udhalimu huu. Mtazima ndoto za vijana wengi wanaowaamini na kuwafuata huku mkijua CCM watachukua roho zao muda wowote walitaka.
Mkuu hii ni THREAD iliyokamilika kabisa haipaswi kuwa sehemu ya comment peke yake. Naomba kama itakupendeza iweke kama Thread inayojitegemea ili tuweze kuweka michango yetu huko. Thanks In advance.
 
Hivi upumbavu huu utavumiliwa hadi lini? How long shall they kill our brothers and sisters while we standa aside and look? Itoshe Sasa, km hakuna la kufanya kuizuia CCM na state machinery zake kuteka, kupoteza Na kuua watu, wapinzani waache siasa. Mnasababisha Maisha ya watu kukatishwa kikatili, wengine wakiwa bado vijana wadogo wenye ndoto kubwa maishani. Kubalini kujiunga CCM in mass kama mnapenda siasa, ili kuponya uhai wenu na familia zenu. Angalia Peter Msigwa, ss hv ana guarantee ya kutokuguswa na Polisi au TISS, hata akisema Jambo baya jukwaani. Hawezi Tena kutekwa Wala kupotezwa. Ana bima ya usalama wake na familia yake.
Mbowe, Zitto na wengine, waoneeni huruma hawa vijana, bado wadogo sana kufukiwa ardhini mapema hivi. Kina Soka huenda walishaoza muda mrefu. Hatujui waliuwawaje. CCM hawana huruma. Kwao ni maslahi tu. Achaneni na siasa, km hakuna njia ya kuizuia CCM kuendesha udhalimu huu. Mtazima ndoto za vijana wengi wanaowaamini na kuwafuata huku mkijua CCM watachukua roho zao muda wowote walitaka.
Njia ipo. Watu walimuondoa Hitler na Nazi yake ITAKUWA hapa.??
Kwenye vita yeyote lazima damu imwagike na damu hiyo ndio kichochezi muhimu kwenye vuguvugu la kudai haki.
Huwezi kupewa haki kwenye sinia kama pilau la shughuli, haki inadaiwa taratibu ikibidi nguvu zinatumika.
Ukisema watu wanyamaze, nchi itageuzwa kama Rwanda au North Korea Muda SI mrefu na ndio lengo lao ili wakiendelea kufanya upuuzi Wananchi wasihoji.
Cha msingi vijana tuelewa Hao wenzetu wanaopitia misukosuko wanatuhamasisha sisi tuinuke na kuunganisha nguvu.
Hatuoni Kenya majuzi ilikuwaje GEN Z???????
Tuache uoga , tuamke, tupambane. Wote kwa pamoja ushindi utakuja.
 
Madaraka yamempanda kichwani ule utu aliokua nao mwanzo umeshapotea. Najiulizaga, ina faida gani uuwe watu wakati na wwe utakufa tu siku moja. We iba kura tu kila uchaguzi maisha yaendelee ila kuuana na kutekana is too much.

Nakumbuka 2020 CCM ilishinda almost kata zote na majimbo yote ila cha ajabu pale singida mjini kuna wamama waliokua mawakala wa Lissu wakapewa kesi ya uhujumu uchumi na haikua na dhamana. Nikawaza sasa kama umeshashinda unaenda kutesa watu wa nini? Kama huyu Mama kahusika basi mwisho wake utakua mbaya na wa aibu.
Amina
 
Yesu alisema mchungaji mwema wa kondoo huwaacha Kondoo 99 na kurudi nyikani kumtafuta huyo Kondoo 1 aliyepotea

Huko Chadema wamepotea wangapi na mmebaki kulalama tu X?

Angalia hekaheka za Ayatollah kuanzia Nondo atekwe asubuhi 😂
Nashukuru kwa kunijibu Mkuu!

Kwa bahati mbaya ama nzuri sina chama!

Nabaki kuwa mpenda haki na ukweli, ndiyo njia niliyoisimamia!
 
Binadamu unamteka binadamu mwenzako na kwenda kumuua kama nguruwe kisa madaraka na utukufu wa duniani tu! Unataka uitwe mheshimiwa, uwe mwenye mamlaka, uwe tajiri,ule vizuri sijui ukisafiri kwa ndege ukae daraja la kwanza,ulale kwenye nyumba yenye kiyoyozi, utembelee gari la kifahari,ukitembea uzungukwe na walinzi wenye masilaha mazito kila pembe,yaani hayo tu ndiyo yasababishe kuua wenzako kweli! Ni masikitiko makubwa sana.
 
Back
Top Bottom